Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,697
- 6,656
KabisaMwanaume ukiwa handsome na huombwi hela ujue unakula wanaohudumiwa na wanaume wenzio, zamu yako ya kuliwa haijafika, ila itafika.
KabisaMwanaume ukiwa handsome na huombwi hela ujue unakula wanaohudumiwa na wanaume wenzio, zamu yako ya kuliwa haijafika, ila itafika.
Mimi ni mwalimu ninayependa kufundisha vitu nje ya syllabus. Halafu unaweza kuta wanafunzi wakapenda yale yaliyofundishwa nje ya mada. Sijui umenielewaNa thread yangu haihusu ku-chase wanawake, nimetoa hii post ili wanaume wenzangu wasipoteze muda na pesa, wanapoona hizo ishara mbaya nlizoandika kwenye hii thread yangu Da'Vinci
Mbona mimi nina sura mbaya, sina pesa na nina mwanamke sio mrembo tu ila mzuri sana?! Acha kukaririNa ukiona mwanaume mwenye sura mbaya ana mwanamke mrembo, bas huyo mwanaume ana hela nying
I'm humbled mkuu. Nilipitia one time ile thread ya kupigika baada ya kukosa kazi and your story inspired me alot. For you to apprecciate what i 've just written is more than a pleasure. Barikiwa mkuu
Unacheka nini, ?Ni sawa na kuamini kuwa kila tajiri hatouona ufalme wa Mungu. Kuna watu matajiri, mahandsome, wachamungu, genius na Heaven wataingia pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mkuu mimi wife ninaye mwaka wa 15 huu na ni kisu kwelikweli, ila mimi sina mvuto kabisa. Huwa namuuliza kwa nini alinipenda na siku zote jibu lake huwa anasema mimi ni smart upstair. So hakuna kingine kilichomvutia zaidi ya hicho na mambo yako poa kabisa.Mbona mimi nina sura mbaya, sina pesa na nina mwanamke sio mrembo tu ila mzuri sana?! Acha kukariri
Mwanaume pesa mwanaume uweze kumkuna mwanamke ipaswavyo..Kuna mwanaume Handsome, mwanaume mashine na mwanaume pesa
ukiendekeza uhandsome na umashine utakuta kijana amewekwa ndani na bi kizee kinamtunza
Vijana msipende miteremko
Huu ndio ukweli..Naona umekua msemaji wa wanaume ma handsome ila kuwaelewa hawa viumbe ni kazi sana afu kingine zama hizi tunazo ishi kula papuchi ni kazi nyepesi sana sio kwa handsome wala konk master
Siku hizi mahandsome wana chapiwa san na hawana la kufanya hebu kasome kwnz kula tunda kimasihara
mzee baba mbona kama hapa unatulisha matango pori siku tatu mme wake hakutoka hata nnje.we mleta mada umenifanya nicheke sana
nilivyokuwa nasoma diploma singida dah sjui ndo hvyo au bahati tu maana walikuwa wanajigonga hatari mie bichwa hilo sasa kuna mmoja ndo nkamwelewa akawa kama mke sema akili za kichwa cha chini bwana zikiwa hewani unakuwa kama chizi maana kumuuliza kama ameolewa,maana alikuwa anasishi kwenye nyumba nzuri gari safi kazi sikuijua alindanganya tu kuwa kaka zake wako US, siku ya siku tuko ndani tunasikia mlango unafnguliwa wa uani naambiwa mme wangu ndo huyo amekuja nilikuwa mdogo hatari,nakumbuka tu nilikaa chini ya uvungu wa kitanda kwa zaidi ya siku mbili mwisho wa siku wakatoka na mkewe wanarudi siku inayofata hpo nlishapigika siku 3 no msosi nilivyopata upenyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii story ifungulie uzi, hapa unakua unatubania uhondo.
Tuambie ulivyokua uvungu ni ulikua unawaza nini
Kuna watu mmeishi kmmkee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe namimi ipo siku nitaibua chombo haswaaaaa mkuu naubad wangu huuMbona mimi nina sura mbaya, sina pesa na nina mwanamke sio mrembo tu ila mzuri sana?! Acha kukariri
Kama kweli wanawake wangekuwa wanaangalia pesa na sura wengine tusingewapataKumbe namimi ipo siku nitaibua chombo haswaaaaa mkuu naubad wangu huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume ukiwa handsome na huombwi hela ujue unakula wanaohudumiwa na wanaume wenzio, zamu yako ya kuliwa haijafika, ila itafika.