LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Ex boyfriend.
Mademu wengi nilio wahi kupita nao halafu baadae wakaenda kuolewa walinitafuta baada ya miezi kadhaa na kuendelea kunipa tunda kama kawaida huku wakiwaponda sana waume zao na maisha ya ndoa kwa ujumla.
Wastani wa mwanamke kuanza kuchepuka na ex boyfriend wake baada ya kuolewa huwa ni miezi sita na kuendelea though wapo wengine wanao rudi after a year, miezi tisa, miezi minne nakadhalika.
Halafu wanawake wenyewe ni wale aina ya wanawake ambao mababu zetu walituasa tusiwaoe. Hapa nawazungumzia wale " wanawake wazuri kupita kiasi"
Usioe mwanamke wa aina hiyo mkuu wengi wana mafuta ya taa vichwani
They are not marriagiable. Their marriagibility capacity has been incapacitated with their beauty.
Kuoa mwanamke mzuri ni sawa na kulima.shamba la miwa karibu na shule ya msingi halafu utegemee watoto wa shule hawata kula miwa yako.
Nikiwaga na demu wangu halafu nikasikia kachukuliwa na mtu mwingine huwa najisikia vibaya sana nikisikia kachukuliwa tu mshikaji kuliko nikisikia ameolewa kwa sababu najua kama amechukuliwa tu na mshikaji basi mimi ndo looser but kama kaolewa kabisa na mtu basi alio muoa ndio looser kwa sababu binti atakuwa kaenda kwa mwanaume huyo kwa sababu ya ndoa na sio kwa sababu anampenda kutoka moyoni na mwisho wa siku she will just come back to me.
# Latest : Kuna demu fulani mkali nilikuwa nae baadae akakata mawasiliano kimya kimya kumbe kaenda kuolewa bana. Yeye alinificha but nilikuja kugundua mwezi mmoja baadae kwamba ameolewa. Miezi minne baadae akanitafuta mwenyewe.
Siku alivyo nitafuta na kuomba kuongea na mimi nikasema yes leo ngoja nimsikie huyu mrembo atakuja na alibi gani.
Kaanza kunambia ooh yalitokea matatizo makubwa sana kwenye familia yao blah blah blah.
Sikutaka kumsanua kwamba najua ameolewa coz sikutaka ajisikie guilty.
She did not tell me ameolewa kabisa na pete ya ndoa akawa haivai.
Basi mzee nikawa nakula tu mzigo kama.kawa ingawa ratiba yake ilikuwa so tight. Atakuja kwako Jumamosi asubuhi by saa kumi anasema anawahi nyumbano sijui yupo na watoto wa sista blah blah blah.
Alikuwa ananionea wivu sana utadhani hana mume kweli. Wanawake nyie? ***** zenu yani!!!!!
Nimeenda nae hivyo kwa kama.miezi sita then akaanza kuniletea habari za kwenda kujitambulisha kwao.
Kufanya uchunguzi nikagundua yeye na.mumewe wametalikiana tayari na jamaa kamuachia mzigo wa maana.
Huyu mdada ni mzuri kweli kweli yani siku ukikutana nae kwa mara ya kwanza sauti ya kwanza utakayo itoa itakuwa " KHeeee".
# Usioe mwanamke ambae sio bikira. Haimaanishi hatokusaliti lakini at least utapunguza chances za kupigiwa.
KAMA UTASHINDWA BASI
#Usioe mwanamke mzuri sana. Oa mwanamke mwenye uzuri wa kawaida tu.
Ukisikia mkeo anatoka.nje ya ndoa basi mshukiwa wa kwanza ni ex boyfriend wake.
Mademu wengi nilio wahi kupita nao halafu baadae wakaenda kuolewa walinitafuta baada ya miezi kadhaa na kuendelea kunipa tunda kama kawaida huku wakiwaponda sana waume zao na maisha ya ndoa kwa ujumla.
Wastani wa mwanamke kuanza kuchepuka na ex boyfriend wake baada ya kuolewa huwa ni miezi sita na kuendelea though wapo wengine wanao rudi after a year, miezi tisa, miezi minne nakadhalika.
Halafu wanawake wenyewe ni wale aina ya wanawake ambao mababu zetu walituasa tusiwaoe. Hapa nawazungumzia wale " wanawake wazuri kupita kiasi"
Usioe mwanamke wa aina hiyo mkuu wengi wana mafuta ya taa vichwani
They are not marriagiable. Their marriagibility capacity has been incapacitated with their beauty.
Kuoa mwanamke mzuri ni sawa na kulima.shamba la miwa karibu na shule ya msingi halafu utegemee watoto wa shule hawata kula miwa yako.
Nikiwaga na demu wangu halafu nikasikia kachukuliwa na mtu mwingine huwa najisikia vibaya sana nikisikia kachukuliwa tu mshikaji kuliko nikisikia ameolewa kwa sababu najua kama amechukuliwa tu na mshikaji basi mimi ndo looser but kama kaolewa kabisa na mtu basi alio muoa ndio looser kwa sababu binti atakuwa kaenda kwa mwanaume huyo kwa sababu ya ndoa na sio kwa sababu anampenda kutoka moyoni na mwisho wa siku she will just come back to me.
# Latest : Kuna demu fulani mkali nilikuwa nae baadae akakata mawasiliano kimya kimya kumbe kaenda kuolewa bana. Yeye alinificha but nilikuja kugundua mwezi mmoja baadae kwamba ameolewa. Miezi minne baadae akanitafuta mwenyewe.
Siku alivyo nitafuta na kuomba kuongea na mimi nikasema yes leo ngoja nimsikie huyu mrembo atakuja na alibi gani.
Kaanza kunambia ooh yalitokea matatizo makubwa sana kwenye familia yao blah blah blah.
Sikutaka kumsanua kwamba najua ameolewa coz sikutaka ajisikie guilty.
She did not tell me ameolewa kabisa na pete ya ndoa akawa haivai.
Basi mzee nikawa nakula tu mzigo kama.kawa ingawa ratiba yake ilikuwa so tight. Atakuja kwako Jumamosi asubuhi by saa kumi anasema anawahi nyumbano sijui yupo na watoto wa sista blah blah blah.
Alikuwa ananionea wivu sana utadhani hana mume kweli. Wanawake nyie? ***** zenu yani!!!!!
Nimeenda nae hivyo kwa kama.miezi sita then akaanza kuniletea habari za kwenda kujitambulisha kwao.
Kufanya uchunguzi nikagundua yeye na.mumewe wametalikiana tayari na jamaa kamuachia mzigo wa maana.
Huyu mdada ni mzuri kweli kweli yani siku ukikutana nae kwa mara ya kwanza sauti ya kwanza utakayo itoa itakuwa " KHeeee".
# Usioe mwanamke ambae sio bikira. Haimaanishi hatokusaliti lakini at least utapunguza chances za kupigiwa.
KAMA UTASHINDWA BASI
#Usioe mwanamke mzuri sana. Oa mwanamke mwenye uzuri wa kawaida tu.
Ukisikia mkeo anatoka.nje ya ndoa basi mshukiwa wa kwanza ni ex boyfriend wake.