Kwasisi tunao tazama kwa jicho LA tatuLooks like a TRUE STORY.....
Hapo kwenye NEVER COME TWICE, zamani siilikuaga ni GOLDEN CHANCE....Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,
Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.
Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?
Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.
Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.
Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.
Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.
Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.
Ni maneno yangu kwa siku ya leo
Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”

Ohoooooo......Pole sana
asante
Haya mapnz hyna formula bhna.....ila ahsante kwa ushaurHabari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,
Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.
Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?
Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.
Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.
Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.
Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.
Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.
Ni maneno yangu kwa siku ya leo
Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”
Alafu mbaya zaidi utakuta ukimkwaza kidogo tu, anakukumbushia kuhusu X wake.Hii inaitwa tugawane maumivu huwezi jua Alisha wahi kupatwa na nini kabla hujawa nae
Kweli mkuu huwa inakuwa hivyoAlafu mbaya zaidi utakuta ukimkwaza kidogo tu, anakukumbushia kuhusu X wake.
Hapo utajikuta unabeba mzigo wa jeraha lililo umizwa na mwingine
Hivi ww unawaza viwanda hujui hili jukwaa sio la uchumi wala ujasiriamali?, vitu vingine unasababisha kujishushia tu kama unataka anzisha jukwaa lako la Tanzania ya viwanda sio kuchafua jukwaa letu hukuHayo maneno yako ya leo yamesaidia nini katika kujenga Tanzania ya viwanda?