Mwanaume ukipendwa pendeka

Mwanaume ukipendwa pendeka

Kama inanigusa hivi...lakini na nyie kupenda kwenu mmezidi bhana, kama luba! hah hah anyway nitajirekebisha basi
 
Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.

Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?

Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.

Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.

Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.

Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.

Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.

Ni maneno yangu kwa siku ya leo

Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”
Hapo kwenye NEVER COME TWICE, zamani siilikuaga ni GOLDEN CHANCE....
Skuizi imebadilika na kua TRUE LOVE.....
 
Habari zenu waungwana, poleni na mihangaiko ya hapa na pale,

Ewe mwanaume thamini upendo unaoonyeshwa na mpendwa wako ipo siku utautafuta huo upendo utaukosa kila kona utakayokuwa unazunguka utakutana na cheche za moto huku ukiitafuta Amani ya mahusiano huioni.

Mwanamke akikupenda nakupenda kweli ,onyesha kujali hata mawasiliano yake, unapigiwa simu hupokei mbaya zaidi ukipata miscall yake humtafuti, ewe mwanaume ivi kweli una upendo au unatania?

Mwanamke anakuweka wazi mambo yake lakini wewe unajifanya hayakuhusu,bewe mwanaume nakuuliza huyo mwanamke ni mjinga kukwambia? Ipo siku utamtafuta hata wa kukwambia asset aliyonayo na umkose na itakuwa siri yake.

Kweli haya maisha ya mapenzi kuna wakati hayana maana yule unayempenda wewe yeye hakupendi anampenda mwingine muda na wewe hana kwanza ukimtafuta kwa ajili ya kumjulia hali ni shida.

Pale unapomshauri anasema hapendi malumbano, ukimwambia tutafute suluhu la hili tatizo anakata mawasiliano yenu.

Mwanaume usiyejali kuwa na nina mwenzangu ana umwa hata kumjulia hali huna muda, ipo siku yako utapata wa kukunyoosha.

Wacha niendelee kutafuta pesa kwanza mapenzi yatakuja yenyewe.

Ni maneno yangu kwa siku ya leo

Pale unapopata nafasi ya kupendwa pendeka “TRUE LOVE NEVER COME TWICE”
Haya mapnz hyna formula bhna.....ila ahsante kwa ushaur
 
Mambo ya kugandana munayataka wenyewe. Kula uroda jisafishe, tafuta hela. Siku ukiwa na kiu kamata/jikamtishe kwamwingine mgongane kisha achaneni. Msigandane. Jamani mbona K na dyudyu zimejaa tele kwann mnafugana?
 
hilo dongo mbona kama ni lakwangu hiv..., asee wanaume wenzangu usiombe ukauchezea moyo wa mwanamke. Laana yake haiishi leo wala kesho, mm bado naendelea kula chamoto mpaka nishazoea sasa...
 
lakini inapaswa umuelimishe ili ujiridhishe kwamba huenda ni mshamba wa mapenzi ama ni dharau ya makusudi, usifanye haraka kufunga mlango wako ambao huwa haufunguki mara mbili tofauti ni sisi wanaume, binti wa kirombo!
 
Me nashukuru sijawahi kupendwa na mtu..kwa hiyo kwenye hiyo dhambi me nimepona.
 
Pole sana bibie kwa yanayokukuta,wanaume tunaojua maana ya mapenzi mubashara tupo ila tunakutana na vimeo pia, njoo upate tulizo la moyo mamaa usiendelee kulia kwa mtu asiekujali machozi yako! Just p.m yako moja tu itabadilisha mtazamo wako wote juu ya mapenzi. Hutojuta! binti wa kirombo
 
Hayo maneno yako ya leo yamesaidia nini katika kujenga Tanzania ya viwanda?
Hivi ww unawaza viwanda hujui hili jukwaa sio la uchumi wala ujasiriamali?, vitu vingine unasababisha kujishushia tu kama unataka anzisha jukwaa lako la Tanzania ya viwanda sio kuchafua jukwaa letu huku
 
Back
Top Bottom