so far nimeona hiyo sentesi ya mwanzo tu...THAT MAKES ME THE MAN....nasoma between the line tu lol
BAK...usisahau pia ni sifa ya kiume kujinyima na sio kuendekeza 'kila kinachotaka moyo'...
sometimes mwanaume huonekana mwanaume kwa kukubali kukikosa 'anachokipenda'kwa faida ya wengine....
sasa hapa je??????
...but not always 🙂 kipenda roho banaaa! Hata malaya hutofautiana kiwango cha umalaya wao na wengine huamua kutulia na kuwa wake wema. Unaweza kuoa huyo usiyempenda ukawa saa zote kiguu na njia na hivyo kutomridhisha naye akaamua kucheza viwanja vya ugenini. Hii kitu ngumu banaa, unaweza ukawa upande wowote ule ukashusha points za uhakika, lakini kipenda roho siku zote hula nyama mbichi na methali hii ina uzito mkubwa sana kwenye mapenzi.
hata huyo unayemwona malaya leo Mwenyezi Mungu aweza kumrekebisha...............................tusifanye maamuzi kulingana na shuruti ya jamii.
jamii siyo itakayeishi naye................follow your heart and the rest will piece themselves together..........................why live and waste it all in pleasing others........................time has come to please your own conscience...................
nakubaliana na wewe Mkuu.Jana kuna mtu kapost kwenye jf nukuu ya Steve Jobs(RIP) ambaye alisema(nanukuu) 'life is short,do not live for others' mwisho wa nukuu.
maswali hayo sio kila mtu hujiuliza..
mostly watu huangalia vitu viwili...
1..good sex
2.good chemistry...urafiki na kuelewana.....
hapo sasa ni uamuzi wa kijinga,? wengi hawatazammi future.....
ni kuwa anafaa leo,namuoa......full stop.....matumaini kuwa atafaa kwa kila kitu
1.moja unampenda na umeamua kumuoa mwanamke ambae jamii haimuheshimu sana.labda anaonekana 'malaya'
au anatoka out of your class na kadhalika.....
Believe me you People change... Hata hivo Boss mwanadamu inabidi atambue sio kila tutakalo inatakiwa upate... Ndio maana ndoa nyingi za saizi yaonekana material things kwanza mapenzi badae... Huwa nashangaa hi kauli sababu zamani walikua wanaoana kwa mitindo ya ajabu... mara kumkimbiza binti... mara forced marriages... mara arranged marriages... na mostly zilidumu saana.
Back to Topic... We ni mwanaume umefall in Love na mwanamke alikua the so called malaya... LAZIMA ujiulize maswali yafuatayo ili kuweza toa maamuzi ya mwisho....
Usipojiuliza haya maswali then wee kama Mwanaume unapunguza vigezo vya kujulikana kama mwanaume... A true man as much as He LOVEs atajiululiza how huyo dada ata cope... kama she will be a good wife... kama wataweza jenga familia yenye mapenzi. Yoote haya hatuwezi jua wala ku predict but at least kuna some pro-actions za kuchukua.... For at the end of the day Marriages are not about love pekee... it is beyond that...
- Ulimkuta bado malaya?? Kwamba bado alikua anachanganya saana wanaume??
- Alikua malaya wa aina gani.. wa kujiuza?? Ama wale tu wakuchanganya madesa??
- Tokana na elimu yake... labda anakotokea.. umalaya alikua anafanya kwa ajili ya sababu za Msingi??
well,we ar here talking of maturity kama itachukua nafasi. lakini kama ni mtu wa mikumbo sasa, na mke wa rafikio pamoja na usomi anaendesha fotuner (nyeusi,lol). akipewa lift kenda kwenye kparty ama kanisani akaona uhondo wake. hajashawishika tena? i believe in 2nd chances,trust me i do. lakini kwa suala la umalaya, nahitaji kushawishiwa haswaa,manake kuweka roho juu ya mti sioni kama ni busara. life is short man!