Kuna tofauti kwati ya mwanaume na mtoto wa kiume. Wanaume hawakunji ngumi bali watoto wa kiume.
"Mwanamke hapigwi kwa ngumu ndugu yangu ila kwa upande wa kanga"
utadhani wako kwenye ulingo wa WWE ..haya mambo hayafai kabisa
Hivi mwanaume ni lazima ukunje ngumi kwa mkeo?
Alafu unatembeza kipigo huku umevua sharti kama unapambana na dume.
View attachment 11588
yaani hiyo siku mtu anyanyue mkono wake anipige ................duh lazima ndo asahau kama kuna mwanamke mimi! no stop hadi polisi. lol
tutake radhi Preta! Wengine sisi kwetu m/mke asipopigwa analiaound: tena anasema kwamba eti hatuwapendi:A S-eek:. Mila mama ndiyo inapelekea kichapo! Mchana unadunda kama kawa na jioini kesha sahau na zawadi ya tunda unapata!gentleman hawezi kufanya hivyo...hao wanaopiga wanawake ni wanaume wa hovyo sana
kweli kuna wanawake wanapata shida. inaanzaje mpaka upigwe? kwangu mm ile cku atakayonyanyua mkono kunipiga yani hiyo ndo talaka yangu.
Mshukuru God kama umepewa roho ya kuwa ''mama'' ndani ya nyumba yenu, hao wanaodundwa walio wengi wanaponzwa sana na ''Uvuvuzela''! Hakuna mwanamme anayependa mavuvuzela ndani ya nyumba aisee.....!
yaani hiyo siku mtu anyanyue mkono wake anipige ................duh lazima ndo asahau kama kuna mwanamke mimi! no stop hadi polisi. lol