kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 7,705
- 14,364
Ukiwa mtu wa watu maana yake hautakiwi kuwa na standards and boundaries?Mzee uko aloof, si mtu ya watu!!
aaaaah weee labda wa kijijini nanjilinji kwa akina intelligent business ManWapo wanawake wengi sana bado hawachotwa akili na hii trend ya relationship commercialization, ni vetting yako tu.
Mkuu jiwekee mageti marefu, ila ujue zaidi ya 99% ya watu, hasa wanawake hawana boundaries kama zako.Ukiwa mtu wa watu maana yake hautakiwi kuwa na standards and boundaries?
Mimi nimeshajiwekea sheria kwamba sitaki mazoea na broke women. Sababu najua ni aina ya wanawake ambao hawawezi kunisaidia chochote kimawazo, wataniweka tu kwenye circle yao ili wapate fursa ya kuomba hela au kuniuzia ngono
Nakomaje..!!
Circle yako ina mchango mkubwa sana katika kuamua uelekeo wa maisha yako. Kama watu wengine hawana boundaries basi hayo maisha yao sio yangu. Siwezi kutengeneza ukaribu na hao wakina dada ombaomba wasiokua hata na aibu eti nionekane mtu wa watuMkuu jiwekee mageti marefu, ila ujue zaidi ya 99% ya watu, hasa wanawake hawana boundaries kama zako.
Mwanangu hujashusha uzi siku nyingi wa kutukumbusha vijanaKosa ni la kwako kutengeneza circle kubwa na wanawake masikini wenye tamaa ya kuishi beyond their means.
Mimi wanawake ambao hata wana namba yangu ni ndugu zangu na washiriki wangu wa kikazi na biashara.
Infact hata wanawake wa mtaani na maeneo mengine nanapokutana nao hawana uhuru wa kuniletea mazoea ya kipumbavu. Standards na boundaries nilizojiwekea ni ngumu sana kwa vikina dada vya hovyo kunisogelea. Wataishia tu kuulizia habari zangu kwa watu lakini kuni-face mimi mwenyewe hawawezi
Tuko pamoja mwanangu. Mambo yamekua mengi.Mwanangu hujashusha uzi siku nyingi wa kutukumbusha vijana
Walivyoenda beijing kudai haki sawa hawakuwaza kwamba haki sawa itakuja na wajibu sawa.Unakuta hao ni wafanyakazi wenzio ,mko level sawa ila wanataka wao wapewa huduma .. Wanawake wabinafsi san.
Basi ukishusha tu mimi nimo kwenye madiniTuko pamoja mwanangu. Mambo yamekua mengi.
Ni kweli kabisa.Walivyoenda beijing kudai haki sawa hawakuwaza kwamba haki sawa itakuja na wajibu sawa.
Ukiwa na ajira automatically unaondolewa kwenye kundi la watu tegemezi. Utawajibika kujihudumia mahitaji yako. Sasa wenzetu ajira wanataka na kuhudumiwa wanataka. Hawapo tayari kuachia kimoja
Mimi hapana niko free nishajikamatia kuku kadhaa hapa plus vinywaji na mcheleee wa kutoshaNi kweli kabisa.
Sasa kesho Xmas, maombi ya hela na zawadi ni kibao!
For sure kula shiba ulaleMimi hapana niko free nishajikamatia kuku kadhaa hapa plus vinywaji na mcheleee wa kutosha
Nakuwa Mwachiluwi napika ubwabwa mzitooooo kweli kweli nikimaliza nalala
No love no stress 🤣🤣🤣
No stresso..!Mimi hapana niko free nishajikamatia kuku kadhaa hapa plus vinywaji na mcheleee wa kutosha
Nakuwa Mwachiluwi napika ubwabwa mzitooooo kweli kweli nikimaliza nalala
No love no stress 🤣🤣🤣