Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,547
- 28,493
Mwanaume yeyeote atanielewa!
Nimepigiwa simu na Jane, samsing yangu ya siku nyingi sana.
Ananisalimia tu na kuuliza Xmas nina mpango gani.
Sijakaa sawa Mwajuma naye kanitumia messeji, eti ana nimisso!
Wiki iliyopita Blandina alinielleza wai wazi kuwa Xmas anategemea zawadi ya simu mpya.
Mamsapu yeye aliniambia hana makuu, gauni jipya tu linamtosha sikukuu hii.
Asubuhi hii nimepigiwa simu na Salome, yeye anauliza tu umepona? maana ulisema ulikuwa unaumwa(ilikuwa kukwepa majukumu!)
Watoto ndo hao, tayari hela niliyokopa nimewanunulia nguo.
Haya majukumu mengine sijui nani nikamkope....!
Jamani uanaume wakati wa sikukuu ni shida sana.
Heri Chrismassi iahirishwe!!
Nimepigiwa simu na Jane, samsing yangu ya siku nyingi sana.
Ananisalimia tu na kuuliza Xmas nina mpango gani.
Sijakaa sawa Mwajuma naye kanitumia messeji, eti ana nimisso!
Wiki iliyopita Blandina alinielleza wai wazi kuwa Xmas anategemea zawadi ya simu mpya.
Mamsapu yeye aliniambia hana makuu, gauni jipya tu linamtosha sikukuu hii.
Asubuhi hii nimepigiwa simu na Salome, yeye anauliza tu umepona? maana ulisema ulikuwa unaumwa(ilikuwa kukwepa majukumu!)
Watoto ndo hao, tayari hela niliyokopa nimewanunulia nguo.
Haya majukumu mengine sijui nani nikamkope....!
Jamani uanaume wakati wa sikukuu ni shida sana.
Heri Chrismassi iahirishwe!!