Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,024
Ndoa is all about furaha yao, so hapa wanaona uzushi tu
Asee!, kazi ipo Basi.
Kuna mtu alisemaga eti ukiona Me na Ke kwenye gari wamekaa ki couple halafu wanafurahiana ujue ni mtu na mcheps, na ukiona hivyo lakini kila mtu kanuna ujue ni mke na mume..lol!
Na mara nyingi kama Me kwenye mahusiano ndio hana furaha basi hata sisi tunakuwa hivyo hivyo.