Mti wa Chuma
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 331
- 99
Habari mpendwa msomaji wa uzi hii.
Wiki iliyopita nilikuwa mitaa fulani hivi, kuna watu wakawa wanabishana kuhusu mwanaume kuvaa hereni wengine wakidai ni uhuni, ushoga huku wengine wakisema si uhuni.
Ndugu mwanaJF hakuna sheria ianayomkataza mtu kuvaa hereni kwa kuwa kuna baadhi ya makabila kama wabarbaigi mwanaume anaruhusiwa kutoboa masikio na kuvaa hereni.
Hivyo kwa mtazamo wangu ni sawa maana si dhambi wala haijaandikwa kwenye maandiko matakatifu ya Biblia na Quruan, tatizo ni akili za watu kuwaza mambo ndivyo sivyo.
Huo ni mtazamo wangu tu, karibuni tujadili kwa pamoja.
Wiki iliyopita nilikuwa mitaa fulani hivi, kuna watu wakawa wanabishana kuhusu mwanaume kuvaa hereni wengine wakidai ni uhuni, ushoga huku wengine wakisema si uhuni.
Ndugu mwanaJF hakuna sheria ianayomkataza mtu kuvaa hereni kwa kuwa kuna baadhi ya makabila kama wabarbaigi mwanaume anaruhusiwa kutoboa masikio na kuvaa hereni.
Hivyo kwa mtazamo wangu ni sawa maana si dhambi wala haijaandikwa kwenye maandiko matakatifu ya Biblia na Quruan, tatizo ni akili za watu kuwaza mambo ndivyo sivyo.
Huo ni mtazamo wangu tu, karibuni tujadili kwa pamoja.