CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Ndugu yangu hakuna mavazi maalum kwa jili ya mwanamke wala mwana utofauti ni muundo wa itengezaji tu ukiondoa masidiria tu.
Hujanijibu, nimesema "kawaida" kwa utamaduni wetu watanzania in particular and majority of Tanzanian tribes heleni huvaa akina nani? Nijibu tu!