Mwanaume kutoa hela bila kuombwa

Mwanaume kutoa hela bila kuombwa

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,164
Reaction score
43,855
Jamani nimepata mtoto fulani mkali sana mpaka sasa naona hajawahi niomba hata mia kiukweli ni faraja sana maana siku hizi watoto wa kike na pesa balaa lakini tatizo najifikiria kumpa kahela fulani bila yeye kuniomba.

Je inawezekana ndo nikawa naanzisha tatizo na kufungua njia za yeye kuanza kuniomba hela?

Tushauriane aisee nisije kumpoteza mtoto mzuri kwa ujinga wangu mwenyewe.
 
Nasikia: Kama umeoa ukaamua kumsaidia mkeo siku moja kupika kwa mapenzi tu, huo ndio mwanzo wa kuanza kuambiwa na leo pika mbona siku ile ulipika.

Akili zao wanazijua wenyewe!
Duuh so nikaushe tu mkuu au!??
 
Huyo hakuombi pesa hapo ujue anaku target ipo siku utajaa mwenyewe kiulaiiiiini na kuzitoa za kutosha tena bila hata yakutafuta ushauri kwa wana JF
Inawezekana aisee... Ilaa sasa hapo ndo ntampoteza maana mapenzi ya pesa pesaa shida sanaa
 
Mmmmhhh kuwa makini ila kama umeamua kumpa pesa fanya km unatoa sadaka.tabia ya mtu haibadiliki ht km ukimpa pesa mimi nilikuwa na demu yaani ht wiki haiishi alikuwa akiniomba pesa nimeamua kumuacha .
 
Inawezekana aisee... Ilaa sasa hapo ndo ntampoteza maana mapenzi ya pesa pesaa shida sanaa

Na mapenzi ya bure bure pia ni shida
Unategemea nani atakae mtimizia mahitaji kama sio wewe,!!!!
Cha msingi unatakiwa uya balance tu
Ukienda kwa kujisifia wewe mtt wa bakhresa au wa mzee mengi ili azidi kukupenda hapo ndio itakuwa nwanzo wa mizinga isio ya maana
 
Na mapenzi ya bure bure pia ni shida
Unategemea nani atakae mtimizia mahitaji kama sio wewe,!!!!
Cha msingi unatakiwa uya balance tu
Ukienda kwa kujisifia wewe mtt wa bakhresa au wa mzee mengi ili azidi kukupenda hapo ndio itakuwa nwanzo wa mizinga isio ya maana
So nimpe ilaa nimwambie hali halisi kuwa vyuma vimekaza lakini so mbaya mke wangu nkikupa kidogo ya vimahitaji vidogovdogo..
 
Wengine kuomba omba hovyo hatuwezi ikiwa ni hulka yetu sio maigizo au kuzuga
Wewe unajua kipenzi chako nina mahitaji fulani ya kike kwanini usiyatimize kwa mapenzi tu mpaka uombwe na uwezo unao??
 
Wengine kuomba omba hovyo hatuwezi wewe unajua kipenzi chako nina mahitaji fulani ya kike kwanini usiyatimize kwa mapenzi tu mpaka uombwe??
Nimekuelewa mkuu...nliogopa asijezoeaa akaanza kuomba omba sasaa maana itakuwa mimi ndo nimekoseaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom