Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?

we pita hakikisha umeacha chochote hapa
 
wachaga mmetudelete ktk mambo ya malavidavi sijui kwanin eti
 
kwa hiyo unataka agande tu kama anaimba wimbo wa taifa?mabig!
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli

Kama wewe ndio umegharamia game lazimu ahakikishe unapata "VALUE FOR MONEY" ya pesa yako ili na siku nyingine ukijisikia umtafute
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli

Na anaelia je!?
 
Mambo mengine hayafai ya msondo mpe gurumo hapo nainai japo mjini msingi kiuno.
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli
kuna tofauti kubwa kati ya kukata kiuno na kupiga mikito....mtoto wa kiume hutakiwi kukata kiuno bali kupiga mikito yaani unapump kama unatwanga!kiuno akate demu
 
kuna tofauti kubwa kati ya kukata kiuno na kupiga mikito....mtoto wa kiume hutakiwi kukata kiuno bali kupiga mikito yaani unapump kama unatwanga!kiuno akate demu
Eti eeenh..,ingekuwa keki ningekupa kipande ukamuonjeshe shemeji halafu yeye angekuambia nini ladha safi zaidi!!!!
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli

Hivi hili nalo ni la kuanzisha thread?

Mambo ya kuambiana chumbani unayaleta MMU? Inakucost how much kumueleza your lover kwamba mimi napenda hivi na ukifanya unanikata stimu?
 
Kukata kiuno ruksa ila inahitajika TIMING ili MASHINE na FUKUSHIMA ziweze kwenda sambamba.
Njemba mkata kiuno ni vema awe chini na Demu juu
 
Back
Top Bottom