afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,779
Siku nyingi sikuoni huku jamvini asigwa! karibu tenaHuyo ndio mzuri.
Kwa nini na wewe uwe golikipa bana?
Jifunze hata kukaanga vitumbua aiseeee
Ni kweli ila tatizo litakuja pale unapomnunulia vijizawadi halafu mwenzia hata hastuki wala habadiliki.Ishanikuta hii na inauma sana mtu asikwambiejaribu kuongea nae umweleze au utumie rafiki yake wa karibu, kama huwezi kumweleza direct, mkiwa mnapiga stori msimulie kisa cha kutunga kuhusu mtu ambaye anajijali mwenyewe alafu umuulize yeye binafsi anamchukuliaje mtu mbinafsi au jaribu ukiwa unanunua vitu vyako uwe unamnunulia na yeye pia ataona aibu na atabadilika tu. huu mchezo hauhitaji hasira we mvumilie tuu
UKITENDA WEMA TENDA UENDE ZAKO USINGOJE KULIPWA FADHILA MKUUNi kweli ila tatizo litakuja pale unapomnunulia vijizawadi halafu mwenzia hata hastuki wala habadiliki.Ishanikuta hii na inauma sana mtu asikwambie
Kama huna cha kuchangia bora upite kimya kimya, utalinda heshima yakouyo ni mwanaume wa Dar? tuanzie kwanza apo
Habari?
Jaman iv inakuwaje mwanaume kakuoa
kiukwel nashndwa kumuelewa ,iv uyu anafaa kwel kuwa mume au ?
Embu nisaidien .
Xry ingekuwa vizur ungejibu kwa kiswahili peke yake maana mtoa mada kaleta kwa kiswahili siyo wote tunaojua hiyo lughaUkisikia selfishness ndo hiyo, your own wife hata humjali
Talk it out with him tell him how you feel about it. Tell him he doesn't need to do that all the time, hata every once in a while sio mbaya
If he values you he might change, ila kama he doesn't basi huyo most likely doesn't care about you
Ila siku mmetulia you can just ask him lightly why hapendi kufanya those things, you might get a more helpful answer
Aksanteh sana mkuu.Siku nyingi sikuoni huku jamvini asigwa! karibu tena
Acha kulalamika. Mtaharibu mapenzi yenu kisa "kujijali". Wewe unamjali? Vitu unavyotaka akununulie wewe pia humnunulia?Habari?
Jaman iv inakuwaje mwanaume kakuoa ,ila ajawah fikiria kukununulia mahitaj yako kama mavazi na vingne muhmu kwa mwanamke ,au ukimuomba hela anakasirika pengne msiongee hata week nzima.
Ila sasa yeye anajijali mwenyewe ,kama mavazi atanunua yeye kama yeye ,kwa kifupi ajajiangalia peke yake.
kiukwel nashndwa kumuelewa ,iv uyu anafaa kwel kuwa mume au ?
Embu nisaidien .