BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Haluna kazi za kike wala kiume
Kazi ni kazi
Kazi ni kazi
Mshamba tu.habar VP Wa ndg?
Hebu tubadilishane mawazo kidogo.. Najua katika maisha kila mtu ana njia yake Ya utaftaji lakini kuna Kaz zingine moja kwa moja zinajulikana Ni za kike katika jamii..
Tumzungumzie mtoto wa kiume anae fanya kaz saluni Ya kike na Kaz yake imekua kusuka nywele wanawake
Pia tumzungumzie Jamaa ambae Kazi yake imekua ni kupika wali,ugali yaan yeye ni mpishi Katika mgaawa
Pia tumzungumzie Jamaa ambae kazi yake amegeuka baamed kuuza vinywaji baa...
MIMI BINAFSI HUWA NASHTUKA SANA NIKIWAONA KATIKA KAZI HIZO... VIPI MITAZAMO YENU WAKUU
Ni nani aliyesema/ aliyepitisha kuwa kazi hizo ni za kike?habar VP Wa ndg?
Hebu tubadilishane mawazo kidogo.. Najua katika maisha kila mtu ana njia yake Ya utaftaji lakini kuna Kaz zingine moja kwa moja zinajulikana Ni za kike katika jamii..
Tumzungumzie mtoto wa kiume anae fanya kaz saluni Ya kike na Kaz yake imekua kusuka nywele wanawake
Pia tumzungumzie Jamaa ambae Kazi yake imekua ni kupika wali,ugali yaan yeye ni mpishi Katika mgaawa
Pia tumzungumzie Jamaa ambae kazi yake amegeuka baamed kuuza vinywaji baa...
MIMI BINAFSI HUWA NASHTUKA SANA NIKIWAONA KATIKA KAZI HIZO... VIPI MITAZAMO YENU WAKUU
Kweli mkuu,huyo bado ni mtoto mdogo sana,wacha aache kunyonya kwanza,atajua kapost utumboSiku ukihama kwenu utajia
Ila mamende ile mbayaTena wale wakaka wa ki-Kongo wanasuka yebo yebo fresh sana.
Makonda wa kike!! hee huyu Bashite!! yamefika huko.Salon wanazosuka wanaume skuiz ndo zna soko wanajua kusuka sana kaz ni kaz bwana coz makonda wa kike nao wapo skuiz izi zama sio za kuchagua kaz
Sawa mkuu ulikua mtazamo wangJapo sikufahamu lakin nakuhakikishia hujawahi kwenda ulaya toka umezaliwa,,,ukaona nchi zilizostaarabika machief wakuu ni akina nan/kusuka ni kipaji ukikitumia vema unapiga mpunga tu/muhudumu anaweza kua yyte haina maana kuamin ni kaz za kike tu..
Kukusaidia ni kwamba ili ujue
KAZI PEKEE YA MWANAMKE DUNIA HII NA WANAUME HAWAWEZI NI KUZAA PEKEE BHAS MAANA ILE INA ASILI YAO TOKA DUNIA IMEUMBWA
Kawaida watu hutumia fursa ambayo ipo,dada zetu siku hizi wamekuwa wakutegemea sana vya kupewa hvo kazi hawafanyi mtu ana mabwana watano ambao kwa cku tatu kila mmoja anaweza mpatia 20000 nk,so wazee lazima wafanye hizo kazi na kutumia fursa haswaaHabari vipi wandugu,
Hebu tubadilishane mawazo kidogo najua katika maisha kila mtu ana njia yake ya utafutaji lakini kuna kazi zingine moja kwa moja zinajulikana ni za kike katika jamii.
Tumzungumzie mtoto wa kiume anaefanya kazi saluni ya kike na kazi yake imekua kusuka nywele wanawake. Pia tumzungumzie jamaa ambae kazi yake imekua ni kupika wali, ugali yaani yeye ni mpishi katika mgahawa.
Pia tumzungumzie jamaa ambae kazi yake amegeuka baamedi kuuza vinywaji baa.
MIMI BINAFSI HUWA NASHTUKA SANA NIKIWAONA KATIKA KAZI HIZO VIPI MITAZAMO YENU WAKUU
....kan'tangaze nawe pia ni,Hizi ni akili za mfumo dume. Kazi ni kazi baharia,Kazi nayo pia ni K