Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
kwa hiyo kufanya matusi sana ujanani ndio kutumia ujana vizuri?
na ndiyo maana mkaambiwa tumieni ujana wenu vizuri//? Inawezekana wa namna hiyo hawajala ujana wao vizuri bado wanavutiwa kufanya vitu fulan ambavyo hawakufanya wakati wa ujana