Mwanaume kua macho juu juu...

Mwanaume kua macho juu juu...

sure uko sahihi rafiki wanatafuta njia mbadala tu ya kufanya wayafanyayo kwa umakini
 
Kasema ukweli lakini...!
Mentor .... hakuna ukweli hapo lolz, tatizo la wanaume wa type hyo wanakimbia roles zao katika nyumba zao. Wewe ni kichwa cha Nyumba... tumia akili yako kutatua mapungufu ya nyumbani mwako kukimbia kimbia hakukuondolei matatizo, sana sana unaongeza vimeo tu lol. Tengeneza mazingira bora ndani ya familia yako ili nyumba iwe na furaha na amani ukifika mda wa kwenda home uone kama unachelewa lol.. sio unatafutia solution bar au kwa kimada....!!!!! Nyumbani kwako ni kwako tu na ni MTAKUJA otherwise unataka kuvunja Familia.

Ishi na mkeo kwa akili.... we si ndo mume bana, na wewe si ndo ulie oa, wife ATAKUSHINDAJE. !!!!!!

(msinirushie mawe puliziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni mtazamo wangu).
 
Last edited by a moderator:
Mentor .... hakuna ukweli hapo lolz, tatizo la wanaume wa type hyo wanakimbia roles zao katika nyumba zao. Wewe ni kichwa cha Nyumba... tumia akili yako kutatua mapungufu ya nyumbani mwako kukimbia kimbia hakukuondolei matatizo, sana sana unaongeza vimeo tu lol. Tengeneza mazingira bora ndani ya familia yako ili nyumba iwe na furaha na amani ukifika mda wa kwenda home uone kama unachelewa lol.. sio unatafutia solution bar au kwa kimada....!!!!! Nyumbani kwako ni kwako tu na ni MTAKUJA otherwise unataka kuvunja Familia.

Ishi na mkeo kwa akili.... we si ndo mume bana, na wewe si ndo ulie oa, wife ATAKUSHINDAJE. !!!!!!

(msinirushie mawe puliziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni mtazamo wangu).
neggirl hivi kweli wakati nakutokea ulikuwa unanambia no kesho naenda gym, oh sorry nlikuwa gym ndo maana sikuona call yako...na mimi nikafurahi kujua my waifu to be anajali na kuitunza afya yake.

Sasa basi umeoleka umeanza kujiachia..maana kama ni kazini ulikuwa unaenda hata kabla..tena umepata mume mstaarabu kazi za ndani kutandika kitanda tu (damn...mi mvivu sana kutandika kitanda!)

Leo hii useme ni wajibu wangu? kufanyaje? kuku-drag kwenda gym? cmon my dia...

NB: sisemi kuwa solution ni kutoka nje..but hey wud u blame him!??
 
Last edited by a moderator:
hehe heheeeee Mentor bwana ...kama nimekuwa mvivu wa kwenda gym... si unaanza wewe bana n automatically nita kujoin as nataka kuwa nawe lol!
 
Last edited by a moderator:
hehe heheeeee Mentor bwana ...kama nimekuwa mvivu wa kwenda gym... si unaanza wewe bana n automatically nita kujoin as nataka kuwa nawe lol!

huo muda kabla hujanijoin kuna mwenzako ntakutana naye huko afu atanikumbushia dem days when neggirl was really neggirl...!!!!
 
Last edited by a moderator:
Wanahalalisha kutoka nje kama vile wao wamekamilika katika nyanja zote. Shida yao inakuja pale ambapo mambo yanapomwendea vibaya. Anatumia ule usemi usemao kuwa Ng'ombe akivunjika mguu urudi zizini. Anarudi nyumbani tayari ni mzigo kwa mke wake na watoto, kupeana zamu za kumuhudumia.
 
Ndiyo, inabidi mjifunze kuchangia wanaume, angalia hili: kila mwanaume akiwa na mahusiano kimapenzi na mke/mpenzi wake tu, wanawake wengine watakosa wanaume. PLL hata huyo uliyenae sasa huenda ni wa mwanamke mwingine na wewe unaiba bila kujua kama kakuoa huenda ulimpokonya mwanamke mwingine bila wewe kujua, itabidi mzoee tu.
Aisee ni kweli aisee inabidi watulie tuwatafunetafune wamezidi kuwa wengi. Tena mimi ukijipitisha unachepusha chepusha vimakalio vyako lazima nikutafune tu aisee
 
Back
Top Bottom