Mwanaume kua macho juu juu...

Mwanaume kua macho juu juu...

PLL

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
882
Reaction score
400
Habari zenu wana JF,nimekua nikijiuliza bila kupata jibu kamili,ivi mwanaume ambae hajatulia/anaependa kua na mahusiano zaid ya mwanamke mmoja je n tabia ya mtu au umri?kipind cha nyuma nlikua nikiamini mwanaume akifka miaka kuanzia 30 anakua ametulia na mtu mmoja since anakua amemaliza michezo yote,ila sasa napatwa na maswali since nmekutana na watu above that age wana familia kabsa lakini stil anawatu wengne nje,imebid niulize ivi machojuu juu n tabia ya mtu au umri wa mtu?
 
na ndiyo maana mkaambiwa tumieni ujana wenu vizuri//? Inawezekana wa namna hiyo hawajala ujana wao vizuri bado wanavutiwa kufanya vitu fulan ambavyo hawakufanya wakati wa ujana
 
Ni roho ya tamaa inayowasukuma kufanya hayo haiondoki tamaa hiyo kwa sababu ana umri mkubwa! umri mdogo! anamke mzuri sana! au ana wake wengi sana,ndo maana unakuta anayo yote hayo bado anasaka wanawake wengine, inakiwisha kwa kuoshwa kwa damu ya Yesu. vinginevyo hiki ndo kinatokea ".........lile ninalotaka kulifanya silifanyi....ila nisilotaka kulifanya nalifanya...ni kwa sababu ya dhambii inayokaa ndani yangu"
 
Ni kutojiamini tu; anatumia kipimo cha kuwa na watu wengi kama ndio uanaume na anasahau kinachopendwa ni pesa na sio yeye. Au nimekosea Asprin?
 
Last edited by a moderator:
na ndiyo maana mkaambiwa tumieni ujana wenu vizuri//? Inawezekana wa namna hiyo hawajala ujana wao vizuri bado wanavutiwa kufanya vitu fulan ambavyo hawakufanya wakati wa ujana
Nahic n tamaa,kuna mmoja namjua yuko 36 now,ana mke na mtoto,hajatulia bado na kipind kabla hajaoa alikua mtu wa wanawake sana,sas huyu utasema hakutumia ujana wake?na kutumia ujana vizur ni lazima kuwa mtu wa wanawake?
 
Ni roho ya tamaa inayowasukuma kufanya hayo haiondoki tamaa hiyo kwa sababu ana umri mkubwa! umri mdogo! anamke mzuri sana! au ana wake wengi sana,ndo maana unakutaanayo yote hayo bado anasaka wanawake wengine, inakiwisha kwa kuoshwa kwa damu ya Yesu. vinginevyo hiki ndo kinatokea ".........lile ninalotaka kulifanya silifanyi....ila nisilotaka kulifanya nalifanya...ni kwa sababu ya dhambii inayokaa ndani yangu"
Umenena vyema rafiki ni roho ya uzinzi inakua imetawala
 
wanaume ni wachache cku hizi,wengi magumegume tu,watanisamehe lkn ndio ukweli!magumegume!
 
Kama hilo ndilo linalokusumbua akili yako basi nawe angaza macho yako juu ili upate kujua faida na hasara yake. Kuwa mwangalifu usiteleze au kuanguke na kuporomoka du!
 
Wanaume kuwa na mahusiano zaidi ya mwanamke mmoja ni asili yetu, angalia kwenye familia yako, jamaa zako au jirani zako utaona wababa wengi ktk familia hizo wanawatoto na wamama tofauti, hii ni tangu enzi za mababu zetu na halitokwisha leo wala kesho. Wanaume wote tumekwishawahi kuwa na mahusiano na mwanamke zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, kama hutaki sikulazimishi.
 
Habari zenu wana JF,nimekua nikijiuliza bila kupata jibu kamili,ivi mwanaume ambae hajatulia/anaependa kua na mahusiano zaid ya mwanamke mmoja je n tabia ya mtu au umri?kipind cha nyuma nlikua nikiamini mwanaume akifka miaka kuanzia 30 anakua ametulia na mtu mmoja since anakua amemaliza michezo yote,ila sasa napatwa na maswali since nmekutana na watu above that age wana familia kabsa lakini stil anawatu wengne nje,imebid niulize ivi machojuu juu n tabia ya mtu au umri wa mtu?

gender yako please...! ehe..na hao wake za watu wenye macho juu juu umewaweka kundi gani?
 
Kama hilo ndilo linalokusumbua akili yako basi nawe angaza macho yako juu ili upate kujua faida na hasara yake. Kuwa mwangalifu usiteleze au kuanguke na kuporomoka du!

Kweli we Radio pekupeku Ushaur mzur
 
Wanaume kuwa na mahusiano zaidi ya mwanamke mmoja ni asili yetu, angalia kwenye familia yako, jamaa zako au jirani zako utaona wababa wengi ktk familia hizo wanawatoto na wamama tofauti, hii ni tangu enzi za mababu zetu na halitokwisha leo wala kesho. Wanaume wote tumekwishawahi

kuwa na mahusiano na mwanamke zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja, kama hutaki sikulazimishi.
He kumbe!
 
Wanaume wamepishana,

Kuna wale ambao they never grow up katika kutamani wanawake na kulala nao ovyo. Kuna mwanaume toka alibalehe hadi utu uzima yeye anataka kubadilisha wanawake kila siku hata kama ameoa! Na hii tabia hukuzwa na kukomaa sana hasa kama yupo vizuri sana kipesa na kwake kuwapata wanawake ni kazi ndogo.

Kuna wanaume ambao hulimbukia kulala na wanawake, toka anakuwa kaonja mwanamke anakuwa kachanganikiwa na ladha hiyo na kumfanya atape tape na wanawake wa kila namna. Hasa tokana na suala la watu kutofautiana katika ladha za mapenzi. Maana kuna watu huwa hawaendani na wanao endana upande wa faragha. Kwa wengine ikifika tu kawa mtu mzima, kaoa basi anaacha na tabia ya kutembea na wanawake ovyo.

Inabidi utambue kuwa hata mazingira, hali ya kifedha, afya ya mhusika inachangia sana katika kupepesa ama kutopepesa hayo macho.
 
Vyakula vya kiafrika vinasaidia mwanaume kuwa na nguvu nyingi za kiume so kuwa na mke mmoja utakuwa unamtesa na kumzeesha tu! So kama unampenda mkeo lazima utafte nyumba ndogo
Pia ukiwa na mke mmoja atakusumbua kwa sababu ataota kiburina kukusumbua hivyoukimuwekea annexure anajua hapa lazimankomae ukizingatia hakuna mwanamke anaye penda kuachwa
 
Hiyo ni kukosa mmarifa na kutumia ngono kama kiburudisho kila wakati badala ya kujiendeleza. Jiulize kama mtu una kazi, mke na watoto unapata wapi muda wa kuongeza wanawake wengine na watoto nje? Lazima familia yako itaathirika aidha hautakuwa na uhusiano wa karibu sana na mkeo au watoto. Hata kama mnasingizia asili sijui mababu zetu walikuwa wanafanyana hovyo na nyie mnaendeleza hiyo tabia. Kumbukeni siku hizi kuna magonjwa ya zinaa na kuna ada ya shule kwahiyo mnjitafutia mabili bure.



enzi hizo walikuwa wanangonoka na hakuna plan zaidi ya hapo. Mnabanana humo humo kwenye nyumba ya udongo. Kuendekeza hii lifestyle ya ngono hovyo ni kujitafutia matatizo.
 
Vyakula gani hivyo? Wacha uongo. Wabongo kwa vitambi we acha tu. Mkumbapanya
 
Last edited by a moderator:
He kumbe!

Ndiyo, inabidi mjifunze kuchangia wanaume, angalia hili: kila mwanaume akiwa na mahusiano kimapenzi na mke/mpenzi wake tu, wanawake wengine watakosa wanaume. PLL hata huyo uliyenae sasa huenda ni wa mwanamke mwingine na wewe unaiba bila kujua kama kakuoa huenda ulimpokonya mwanamke mwingine bila wewe kujua, itabidi mzoee tu.
 
Habari zenu wana JF,nimekua nikijiuliza bila kupata jibu kamili,ivi mwanaume ambae hajatulia/anaependa kua na mahusiano zaid ya mwanamke mmoja je n tabia ya mtu au umri?kipind cha nyuma nlikua nikiamini mwanaume akifka miaka kuanzia 30 anakua ametulia na mtu mmoja since anakua amemaliza michezo yote,ila sasa napatwa na maswali since nmekutana na watu above that age wana familia kabsa lakini stil anawatu wengne nje,imebid niulize ivi machojuu juu n tabia ya mtu au umri wa mtu?

Pole sana mdau kama ww ni muathirika wa hili! Kifupi ni kwamba, wadada wengi katika ndoa wameonekana kubweteka baada ya kuolewa! Wadau wengi wanasema akina wife kibao akishajihakikishia mme ni wake tayari, basi anaacha ubunifu wake wa awali wa kulinogesha penzi, ataanza dharau kwa mme, mara unyumba wa mgao, mara mashoga ndo anawaamini zaidi kiushauri, mara anataka u extend service mpaka kwa shangazi yake, kibaya zaidi anajinenepeaaaaaa.... Kama pipa, hataki shida ya kufanya mazoezi eti kisa, mke wa ofisa! Ahhhh..... Badilikeni! La sivyo mtasaidiwa na small house!
 
Pole sana mdau kama ww ni muathirika wa hili! Kifupi ni kwamba, wadada wengi katika ndoa wameonekana kubweteka baada ya kuolewa! Wadau wengi wanasema akina wife kibao akishajihakikishia mme ni wake tayari, basi anaacha ubunifu wake wa awali wa kulinogesha penzi, ataanza dharau kwa mme, mara unyumba wa mgao, mara mashoga ndo anawaamini zaidi kiushauri, mara anataka u extend service mpaka kwa shangazi yake, kibaya zaidi anajinenepeaaaaaa.... Kama pipa, hataki shida ya kufanya mazoezi eti kisa, mke wa ofisa! Ahhhh..... Badilikeni! La sivyo mtasaidiwa na small house!

Wanchekeshaaaaaaa!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom