1st AID
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 1,079
- 523
tena mbaya zaidi ni pale unapokuta mtu amekuadd tu bila kukuuliza tena vitu vya kujadili inbox huko wao ndio wanaleta kundini...ni ku-exist tu maana hamna namna nyingine sasa
kuna makundi mpaka tuliosoma nao primary school, yaani ni shida...ila kwa wanao yatumia vizuri ni msaada but majority wanaabuse..sana