Mwanaume kila mtandao umo!

Mwanaume kila mtandao umo!

indelible

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
652
Reaction score
301
1. Instagram
2. Facebook
3. Badoo
4. JF
5. Tweeter
6. ....

Natatizika kidogo.
 
Hivi JF sio mtandao....labda tuwaze kwanza mtandao ni nini..

Au ulitaka kumaanisha nini
 
4.Twitter
5.tango
6.BBM
7.viber
8.sype
9.JF


Lol nimeongeza
 
Basically, Twitter inanipa connection na watu mbalimbali kutoka pande zote za dunia, esp wa michezo na burudani. JF inaniweka karibu na home. Insta adds style and what-not to my stigity. Pretty much.
 
1. Instagram
2. Facebook
3. Badoo
4. JF
5. Tweeter
6. ....

Natatizika kidogo.

Wewe ni mwanaume au mwanamke. Majibu yanatofautiana kutegemea na jinsi yako.
Kwa ufupi vigezo ni vingi: umri, mtandao, uelewa, nk.
 
Line,tango,viber,whatsapp,insta, face book,telegram,twitter,skype,badoo,ask,jamii forum,we chat na nyingine nimeshau hadi nione notification.

Shida yako ni nini hasa mwanaume akiwa kwenye hiyo mitandao.
 
Mtandao ni mmoja tu "internet" au "world wide web", hizo zingine zote ni tovuti tofauti za kijamii.
FaizaFoxy ww kwa hizo tabia zako za kichawi ungekua shinyanga long time wangekufanya hamna!
 
Last edited by a moderator:
Voda airtel tgo zantel smart ttcl nayenyewe c ni mitandao ata magirl wanatumia ata useme yakijami tu nayenyewe bado ipo c inatumiawa na jamii YAN KIUFUP POST AKO AINA AKIL
 
ungeongelea kuwa na magroup mengi ya whatsapp hapo ningekuelewa ila kutumia tu social network kwa wala haina shida hata ziwe nane ilimradi tu uwe na sababu ya kufanya hivyo... sio wale ambao unakuta anaowasiliana nao jf ndio haohao mpaka insta na twitter pengine mpaka fb sasa huko ni kukosa akili..
 
ungeongelea kuwa na magroup mengi ya whatsapp hapo ningekuelewa ila kutumia tu social network kwa wala haina shida hata ziwe nane ilimradi tu uwe na sababu ya kufanya hivyo... sio wale ambao unakuta anaowasiliana nao jf ndio haohao mpaka insta na twitter pengine mpaka fb sasa huko ni kukosa akili..

Kama idea ni hiyo sawa. Makundini kuna kero watu hawalali, hawafanyi kazi ni chatn tu. Mi nimeblock mengi.
 
Basically, Twitter inanipa connection na watu mbalimbali kutoka pande zote za dunia, esp wa michezo na burudani. JF inaniweka karibu na home. Insta adds style and what-not to my stigity. Pretty much.

Karibu na home.....uko nje ya nchi?
By the way mtu kuwa kwenye hizo social media kuna tatizo gani
Kwan ziliwekwa kwa ajili ya wanawake tu?
Kila ntu aba uhuru wake
ili mradi hakuombi vocha ya kujiunga bando
 
Kama idea ni hiyo sawa. Makundini kuna kero watu hawalali, hawafanyi kazi ni chatn tu. Mi nimeblock mengi.

tena mbaya zaidi ni pale unapokuta mtu amekuadd tu bila kukuuliza tena vitu vya kujadili inbox huko wao ndio wanaleta kundini...ni ku-exist tu maana hamna namna nyingine sasa
 
sio kweli. internet ni network of networks. kwa iyo sio mtandao mmoja. na world wide web ni moja ya huduma zinazopatikana kwenye internet ambapo iyo 3w ndio kuna tovuti izo za kijamii na zingine

interconnection network of computer ..abbrvtn ni internet bila shaka. Not to be confused with the World Wide Web. The Internet is a global system of interconnected computer networks that use the Internet protocol suite (TCP/IP) to link several billion devices
worldwide. It is a network of networks then kuna WWW..

The World Wide Web (www, W3) is an information space where documents and other web resources are identified by URIs, interlinked by hypertext links, and can be accessed via the Internet.

It has become known simply as the Web.
 
Back
Top Bottom