Mlonge ndio nini hio pliizHabari wana JF
Matumizi ya kila siku ya kikombe kimoja cha chai chenye mchanganyiko wa tangawizi(ya unga au kawaida),mlonge(unga) kijiko kimoja,unga wa mbegu za tikiti maji huku nikitumia asali badala ya sukari ndo vimenifanya niwe na ubora wa hali ya juu katika tendo la ndoa. Inatibu tatizo la kuwahi kufika kileleni,kutokua na hamu ya kushiriki tendo kutokana na sababu mbali mbali za kimaisha nk.
Ukiachana na hvyo tu kuna faida nyingi tu za kiafya km vile
1) Kuongeza nishati mwilini(boost energy) na kufanya mwili kuwa active muda mrefu
2) Kuweka sukari ya mwili katika usawa(balance the level of sugar in the body)
3) Kupunguza mafuta mwilini nk.
4) Kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa mbali mbali
Hapo mwanzo nilikua siamini ila baada ya kuanza kutumia sasa hivi I'm flying.
Faida zote hizo ni kwa wanaume na wanawake kwa ujumla.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] Kila la heri
Mbegu za mlonge(moringa seeds) ni mbegu zinazotokana na mti wa mlonge,inapatkana sana maeneo ya pwani n kwa hapa dsm inapatkana kwa wingi chanika,vilevile unaweza ukawa unatafuna tu zile mbegu zake baada ya kuzianika kwenye jua,mbegu tatu hata kila baada ya cku 2Mlonge ndio nini hio pliiz
[emoji3] [emoji3] [emoji3]mkuu izo mbegu za tikiti ni kiboko maana nikila tikiti nakula na mbegu
nikimwaga sasa kamasi la mtoto wa kijijini si unajua walivyokuwa na afya
yaan uku natoa mawaziri, maraisi wakina bashite ndo usiseme
Haimaanishi inaondoa mafuta yote bt ina balanceShukran kwa ushauri kipindi kirefu sana nilihitaji dawa ya kuongeza nguvu za kike(hata sizijui zipoje) ila ngoja nianze dozi kali kwa kweli(naombea mafuta yasipungue mwilini akhaa sitaki kuwa betina mie)
Ntajaribu na mimi ntumie picha ya uo mlongeHii inatibu zaid ya nguvu za kiume na kike,so hata km upo vizuri unaotumia kwa manufaa ya afya yako
Ungeweka namba za simu ungepiga hela kichiziHabari wana JF
Matumizi ya kila siku ya kikombe kimoja cha chai chenye mchanganyiko wa tangawizi(ya unga au kawaida),mlonge(unga) kijiko kimoja,unga wa mbegu za tikiti maji huku nikitumia asali badala ya sukari ndo vimenifanya niwe na ubora wa hali ya juu katika tendo la ndoa. Inatibu tatizo la kuwahi kufika kileleni,kutokua na hamu ya kushiriki tendo kutokana na sababu mbali mbali za kimaisha nk.
Ukiachana na hvyo tu kuna faida nyingi tu za kiafya km vile
1) Kuongeza nishati mwilini(boost energy) na kufanya mwili kuwa active muda mrefu
2) Kuweka sukari ya mwili katika usawa(balance the level of sugar in the body)
3) Kupunguza mafuta mwilini nk.
4) Kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa mbali mbali
Hapo mwanzo nilikua siamini ila baada ya kuanza kutumia sasa hivi I'm flying.
Faida zote hizo ni kwa wanaume na wanawake kwa ujumla.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] Kila la heri