Mwanaume katika ubora wangu

Mwanaume katika ubora wangu

mkuu izo mbegu za tikiti ni kiboko maana nikila tikiti nakula na mbegu

nikimwaga sasa kamasi la mtoto wa kijijini si unajua walivyokuwa na afya

yaan uku natoa mawaziri, maraisi wakina bashite ndo usiseme
Ila ww jamaa unacchekesha sana, yaan comments zako zinafurahisha sana
 
Wait kidogo mkuu
5d74491dde5b3818873834e98f5672cc.jpg
fdecd1ff4c71bcae3a1566eb3b2a3d25.jpg
15b93181730b8b0d26a3e681a6c19fa3.jpg
873d86dddc405a4f1a7e08bb0ce8f9d5.jpg
kumbe ndo aya mkuu ntajaribu ninayo mengi hapa nyumbani kwangu
 
Ndio unagundua fursa now wakat umeshatoa njia ya kutengeneza dawa. Ungeweka tangazo kama tangazo tu ohoooo!!!
Siyo mbaya mkuu
Nilikua natoa tu somo
 
Kwel mkuu hata mm nimejfunza mengi sana hapa jf gharama yangu ikiwa ni bando tu
Yaaah mpaka saa ubongo umeshiba vtu kutokana na nondo za humu. Ila ahsante kwa elimu pia naww mkuu japo kuna vimburu wanasema Mm na ww ni mtu mmoja Id tofauti
 
Yaaah mpaka saa ubongo umeshiba vtu kutokana na nondo za humu. Ila ahsante kwa elimu pia naww mkuu japo kuna vimburu wanasema Mm na ww ni mtu mmoja Id tofauti
 
umesahau inaongeza nguvu za kiume ungeona vyenye tangawizi zingeanza adimikaa gafla tu bin vuuuuu
 
2850c015a4bcf839edcd5896e234b401.jpg

Mbegu za mlonge hizo
 
Back
Top Bottom