Mwanaume KAMILI

Mwanaume kamili ni yule ambaye huwezesha familiya yake kula ,kulala ,kuvaaa na matibabu .Amani zaid .
 
thereabouts..hiyo tag haitakuwa mbali na mfano wa ulichok-describe kwenye poem yako..
....and malaika duniani = non-existent!

Non-existent to you. . .it doesn't surprise me.
 
I wish I would become one. Siku hizi wanaume na wanawake wanavaa suruwali. Mwanamke mzuri ni anayefahamu mahala pake na kuridhika na hali yake. Mwanamume kamili ni yule mwenye speed ya 1000 Tera Hertz na ana respond kabla ya kuwa ordered. BLUE MONDAY.
 
Mbona kama shahiri hvi,
Anwy; tunashukuru kwa ujumbe mzuri..
 
Wakati kuna wanawake wanataka wawezeshwe na wanaume, Mwamvita Makamba amejiwezesha kwa style hii, huyu ni mwanamke kamili.


 
haya.....nevertheless, good luck with your search for a non-existent "malaika duniani". lols...

Mbona unang'ang'ana sana na hiyo non-existent? Kama wewe unaona kwamba hata ukijitahidi huwezi ukafikia hata robo ya hapo ni vizuri ukaamini kwamba ni wewe tu ndie uliyeshindwa na sio kila mtu.
 
Wakati kuna wanawake wanataka wawezeshwe na wanaume, Mwamvita Makamba amejiwezesha kwa style hii, huyu ni mwanamke kamili.



Watu wanaohitaji kuwezeshwa ni watu wasiojiweza. . .
Sasa kama hawajiweze wafanyaje kama sio kutafuta wa kuwawezesha?
 
Mbona unang'ang'ana sana na hiyo non-existent? Kama wewe unaona kwamba hata ukijitahidi huwezi ukafikia hata robo ya hapo ni vizuri ukaamini kwamba ni wewe tu ndie uliyeshindwa na sio kila mtu.

show me aliyefikia hata 75%! i swear i will self-transform, take a charge at you and marry you....and marry you i can, honey.
 
This is nice!! Yaani kama ulikuwa unanielezea mimi!!
 
show me aliyefikia hata 75%! i swear i will self-transform, take a charge at you and marry you....and marry you i can, honey.

Wangekua wanataka publicity ningewaanika hapa but they don't.Tena umenikumbusha ngoja ntawasifia moja kwa moja. Hahahaha. . marry me?YOU ABSOLUTELY CAN NOT!!

Alafu wapo waliojitaja hapa. . . sema hujataka tu kuwa-acknowledge kwasababu hutaki kuamini kwamba inawezekana.
 

"... marry me?YOU ABSOLUTELY CAN NOT!!" = u are shouting at me with that caps stuff, honey.....but watch me!

hapo juu kwenye red.....they are trying to get the better (worse?) of you. USIDANGANYIKE (na hii ni emphasis siyo shout!)
 
mkuu ungetupa na verses za mwanamke kamili mana kila siku tunasikia mwanaume kamili au rijali!! tunaomba kibao kigeukie Beijing saizi
 
@m-mbabe and Lizzy.
Am not saying anything. 🙂
 
"... marry me?YOU ABSOLUTELY CAN NOT!!" = u are shouting at me with that caps stuff, honey.....but watch me!

hapo juu kwenye red.....they are trying to get the better (worse?) of you. USIDANGANYIKE (na hii ni emphasis siyo shout!)
Hahahaha so if you capitalize words you are emphasising but if I do it I'M SHOUTING? Dayyyyyym.
Hata hivyo bado nasema you absolutely can not marry me, and I can say that again and again and AGAIN.

Hahaha. . . JELOUS MUCH?Waache hao sio wenzako wewe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…