Mwanaume KAMILI

Na news tutaangalia saa ngapi?
Kuna na magazeti ya kusoma pia. LOL.
A complete man is the one who has the understanding of the life and any field in the universe.

Kwani kumwelewa mwenzako na kumfabya ajisikie vizuri kunahitaji/mtaka mwelewaji kutofanya mambo mengine?
 


Hivi kuuza sura ndio kufanya nini tena?

Kila mwanadamu ana maringo fulani fulani wakati fulani fulani, mara nyingi labda kuonekana wa level Fulani.... Sijui kama unanipata.... Nitolee mfano: Nipo na mume wangu maybe na baadhi ya marafiki, tupo kwenye usafiri then bahati mbaya gari inapta pancha, then anaanza lalama kua "Ah mimi siwezi toa tairi, ngoja tu niite hawa service (hali kwenye gari kuna jerk na kuna spare tire - he has to man up na kuweka tairi, hicho kitendo cha kujifanya hawezi ndio kuuza sura)

He rules..... either by being a low key player or high key player.... Hii inataka nyama kidogo.

Kwenye mkutano kuna makundi mawili, wawakilishaji, watendaji na audience, .... Inatakiwa akiwa ni mtendaji - awe mtendaji kweli na a Great organiser. Akiwa muwakilishaji - awe muwakilshaji kweli na sio wa kubabaisha, yaani he knows what he is delivering tokana na kujituma kwake kujua mambo yahusuyo kazi yake. Akiwa audience awe ni audience mwenye malengo na ajua nini katuata hapo. Key players ni mendanji na mwakilishaji, low key player ndio audience.

Hii ya kutembelea jikoni itakuwa ngumu kidogo..

I love cooking... especially for the people I love. Sipendi mwanaume ambae kanikuta jikoni, ana shida kama maji ya kunywa aniiitie sebuleni, chumbani or whatever! kisa tu jikoni yeye ajiona ni mwanaume hawezi ingia, wala hawezi akaja nikawa napika huku tukiongea kwa amani na furaha (hata once in a while) au nimeumwa haweza hata ingia kuchemsha chai. Hata tu ile siku moja (hata kama mara moja kwa miez akasema "Honey relax leo ngoja nikupikie...." My kitchen is my Kitchen, but Still I love a man who is at home in a kitchen ya mkewe (tu!!!)"Atanifanya nijiskie I am special and Woman indeed"

Atanifana nijisikie kua when I said "YES" to him.... It is one of the best decisions in my Life.....


BTW Tata, hebu relax a bit, the way watoa hoja, reply kama vile wewe ni mwalimu na wengine yatakiwa tufuate wewe nini wataka... Come on man.... Hopefully umenipata na nyama ni za kutosha...
 
Reactions: EMT
Na news tutaangalia saa ngapi?
Kuna na magazeti ya kusoma pia. LOL.
A complete man is the one who has the understanding of the life and any field in the universe.

That too plus an understanding of me... Doing that does not require that much of the time bana! lol
 
ni huzuni kwakweli, naona wengi wao si wanaume kamili dah.

Kwa kuwa wewe sio mwanamke kamili. Ukiwa na nanii kubwa siku zote utalalamika kuwa wanaume wana nanii ndogo. Hapo ujue tatizo ni wewe na sio hao wanaume unaowaita nusu
 

He he hee huko sijawahi fika except this one time na tulikuwa tumelewa wote.....all in all one cant be perfect my dear
 
He he hee huko sijawahi fika except this one time na tulikuwa tumelewa wote.....all in all one cant be perfect my dear

That's good.

Alafu perfection is not an issue, what's lacking in a lot of us is self-discpline, self-control, reliability,understanding and the ability to make good decisions.
 

Role model wangu nashukuru kwa hii post....let me dream again and work to live my dream....😛oa

Hongera kwa wanaume kamili wote,najua ni wachache sana....lol
 

a.k.a "malaika"
 

lol! ahsante sana Mungu akubariki.
 
Mie najitahidi kuwa kile kinachoitwa mwanamume kamili, with reference to Lizzy na Ashadii; Kuwahi kurudi ndio inakuwa mtihani, ukichanganya na hizi foleni za Dar, siku nimewahi sana nimefika nyumbani saa mbili na nusu usiku. Hapo naongelea weekdays. Weekend najitahidi kuwa nafamilia kama sijabanwa na shughuli nyingine za kusaka mshiko
 

Hiyo sio mbaya kabisa. . .
Uko kwenye mstari!!
 
Alright then. . .
Ntaomba pale juu waandike "MALAIKA duniani"

thereabouts..hiyo tag haitakuwa mbali na mfano wa ulichok-describe kwenye poem yako..
....and malaika duniani = non-existent!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…