Mwanaume KAMILI


Asante kwa kutupa sifa za mwanaume wako wa kufikirika. Kwenye utawala tungeiita hii ya kwako kuwa ni VISION ya mwanaume ambaye wewe unadhani kuwa ni kamili.
 
Asante kwa kutupa sifa za mwanaume wako wa kufikirika. Kwenye utawala tungeiita hii ya kwako kuwa ni VISION ya mwanaume ambaye wewe unadhani kuwa ni kamili.

Hapo cha kufikirika ni kipi haswa?
Kutokulewa? Kujali familia? Kutimiza majukumu? Kijielewe? . . . . . . .?
 
Aaah mkuu sipingi ila niko kiperspective zaidi...kunywa/kulewa...umegusa ikulu mkuu ha ha haaa.....sifa zoooooooote nnazo ila hii ya kurudi umekunywa, sorry kulewa....hold on.... mama Gaude anakuja upande huu!
 
Front gentleman, real man, perfect man to mwanaume kamili (complete man?).
Unfortunately, no one qualifies for that.
 
Aaah mkuu sipingi ila niko kiperspective zaidi...kunywa/kulewa...umegusa ikulu mkuu ha ha haaa.....sifa zoooooooote nnazo ila hii ya kurudi umekunywa, sorry kulewa....hold on.... mama Gaude anakuja upande huu!
Hahahahaha. . .
Ukinywa sio lazima ulewe unajua!!
Acha kumtesa mama Gaude kwa kumsubirisha usiku usiku mkono kiunoni na mwingine kichwani kwa wasiwasi.
 


Hii ya kwako imekaribiana na uhalisia kwa kiasi kikubwa. Ila kuna misemo imenitoa ushamba hasa ukizingatia mimi ni born bush.
  • Hivi kuuza sura ndio kufanya nini tena?
  • He rules..... either by being a low key player or high key player.... Hii inataka nyama kidogo.
  • Hii ya kutembelea jikoni itakuwa ngumu kidogo. Huchelewi kuambiwa unamendea house girl a.ka. beki tatu.
  • "Atanifanya nijiskie I am special and Woman indeed" Hii nayo ina utata kidogo. Inabidi uongezee nyama kidogo ili walau tujue ni mambo gani yakifanyika utajisikia kuwa "special and woman in deed". Na mwanaume atajuaje unapojisikia hivyo - i.e. feedback gani atarajie?
Ukinifafanulia hayo tu nitakuwa nimekuelewa vyema na unaweza ukatunga mtihani nikafaulu.
 
Front gentleman, real man, perfect man to mwanaume kamili (complete man?).
Unfortunately, no one qualifies for that.

Hhhm. . .
Real man? Perfect man? Haya bana. . .
Hata hivyo kila kimoja kinajitegemea and i'd like to keep it that way!!

Alafu huyo 'No one' unless ni jina la mtu sioni sababu ya kuongelea kila mtu wakati wapo wanaojua sifa wanazo!!
 
Mkuu saa tisa niko home (kazi yangu inaruhusu)...ila fridge langu sasa....almost brandy zote zipo...ila frankly sikuwah kulewa!
 
Hapo cha kufikirika ni kipi haswa?
Kutokulewa? Kujali familia? Kutimiza majukumu? Kijielewe? . . . . . . .?


Refer comment ya Ashadii. Kama kwa mtazamo wako hivyo vigezo ulivoviweka ndio kipimo cha mwanaume kamili, basi utaishia kuwa stress zisizo na mpango. Jaribu kuchakachua kidogo hizo sifa ili ziendane na hali halisi.
 
Mkuu saa tisa niko home (kazi yangu inaruhusu)...ila fridge langu sasa....almost brandy zote zipo...ila frankly sikuwah kulewa!

Kama hulewi, yani unarudi nyumbani na akili zako zote basi uko poa!!
 
Refer comment ya Ashadii. Kama kwa mtazamo wako hivyo vigezo ulivoviweka ndio kipimo cha mwanaume kamili, basi utaishia kuwa stress zisizo na mpango. Jaribu kuchakachua kidogo hizo sifa ili ziendane na hali halisi.
Nichakachue kwa faida ya nani?
Hizo stress ntapewa na nani?
 
he he he safi sana but mimi nalewaga although narudi nyumbani mapema.i also enjoy getting drunk with my bby grl,hilo nalo kosa?
 
Ujumbe kwa wanaume, kama unataka mwanamke kamili, mke mwema etc fanya kazi uwe na uhakika wa fwedha!

Though hata baadhi ya wanaume wanaofanya kazi na kuwa na uhakika wa fwedha wana nyumba ndogo. Inawezekana mwanaume akawa na mwanamke kamili lakini akaamua pia kuwa na nyumba ndogo?
 

Na news tutaangalia saa ngapi?
Kuna na magazeti ya kusoma pia. LOL.
A complete man is the one who has the understanding of the life and any field in the universe.
 
he he he safi sana but mimi nalewaga although narudi nyumbani mapema.i also enjoy getting drunk with my bby grl,hilo nalo kosa?
What's your definition of kulewa?

Yangu ni kunywa pombe mpaka akili zinaruka, badala ya kufungua mlango unahangaika kuingiza ufunguo ukutani. Ukiandaliwa chakula mkono unanawa kwenye bakuli ya mboga. . .

Kama hufiki huko kote basi endelea kufurahia.
 
Though hata baadhi ya wanaume wanaofanya kazi na kuwa na uhakika wa fwedha wana nyumba ndogo. Inawezekana mwanaume akawa na mwanamke kamili lakini akaamua pia kuwa na nyumba ndogo?

of course that is inevitable, ila siku nikijua stop ya kwanza angaza, tukitoka salama lolote linaweza fuata, wanasema never say never.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…