Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,798
- 22,218
Bibi yangu alikataa kabisa kutibiwa na vijana wadogo hawa wengi wao nidhamu ni 0 kabisa.
Mpo na mtu mzima mnamtibia, kama ndo kuna hao wauguzi wawili hawaachi vistory vyao, ishu ya kumfariji mgonjwa kwao ni changamoto.
Ila pamoja na hayo kumchanja wife hilo hapana aisee, mambo ya operation siyakubali kabisa..
Mpo na mtu mzima mnamtibia, kama ndo kuna hao wauguzi wawili hawaachi vistory vyao, ishu ya kumfariji mgonjwa kwao ni changamoto.
Ila pamoja na hayo kumchanja wife hilo hapana aisee, mambo ya operation siyakubali kabisa..