Mwanaume! Kama ni wewe ungefanyaje?

Mwanaume! Kama ni wewe ungefanyaje?

KARIA

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2011
Posts
717
Reaction score
473
Umepewa taarifa kuwa mkeo wa ndoa kakaa na hawara yake bar, ile unafika pande zile unamsikia hawara yake akimwambia mkeo "beby chukua hizi laki saba kampe mumeo mwambie kesho ila ikifika mwisho wa mwezi nitakupia tukutane nikupe milioni 80 umpatie afanye biashara ili awe bize asitusumbue baby wangu" Je! kama ndio wewe utaanzisha mtiti au utazisubiri hizo milioni 80?
 
Hiiii thread imekaa kilevi levi tu lakini ukitaka kujua mawazo yangu yatakuwa kama haya...Tazisubiri tu hizo pesa mke mwenyewe anaenda bar si bora aishie zake tu huko bar, nikisha pata mtaji najiolea ka babe kale kalio fugwa nyumbani na wazazi wake kwa kulishwa ibada za dini.
 
Mawazo ya kimasikini hayo, yaani wewe kupata 80m mpaka umwachie mkewe 'aliwe'! Fanya kazi bana, you can raise 80m on your own.
 
Umepewa taarifa kuwa mkeo wa ndoa kakaa na hawara yake bar, ile unafika pande zile unamsikia hawara yake akimwambia mkeo "beby chukua hizi laki saba kampe mumeo mwambie kesho ila ikifika mwisho wa mwezi nitakupia tukutane nikupe milioni 80 umpatie afanye biashara ili awe bize asitusumbue baby wangu" Je! kama ndio wewe utaanzisha mtiti au utazisubiri hizo milioni 80?

80M has no match with a human value espcly sm1 close lyk a wife
 
Nonsense!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
----- mtupu na umetumia masaburi kufikiri
 
Hiyo Thread ni kama walivyo-act Kipindi cha mizengwe Jumapili iliyopita. ------ alimfuma mkewe anagawiwa laki tano na jamaa na kuahidiwa milioni 50 kwa ajili ya kumtuliza mumewe. ------ alirudi nyumbani na kumbana mkewe ampe zile pesa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom