Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Wanasema dawa ya bishoo unakuwa bishoo zaidi yake so we fanya mpango utembee na babake.Nampenda sana uyu mpz wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpz wangu nimechanganyikiwa naumia mno wanaume nimewachukia sana
unaamini samaki mmoja akioza wote wameoza?!Nampenda sana uyu mpz wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpz wangu nimechanganyikiwa naumia mno wanaume nimewachukia sana
Hahahaha you made ma daysasa na sisi wengine unatuchukia kwani tumefanya je?
Sijui shida ni nini au ni mapepo, kuna jamaa amepiga mama na watoto wake watatu, na maisha yanaendeleaSometimes sisi wanaume ni watu wabaya sana, ni wabinafsi sana.
Kuna mshikaji wangu ametembea karibu na ukoo mzima, sijui kwa nini, alianza na binti mdogo, akapitia dada zake na huyo binti wakubwa wawili.
Kisha akashika mama yao mdogo na hao mabinti mwisho akamalizia na shangazi yao.
Wanawake lazima muwe makini, kuwazoesha zoesha ndugu zako wa kike kwa mumeo ni kuwasogeza kwenye mdomo wa mamba.
Yakhe! musigombee fito ati....nyie ndugu hampaswi kugombania fito mwajenga nyumba moja nyie...hapo itisheni kikao cha kifamilia kubalianeni tena na familia ijue nani ataijenga hiyo nyumba .......usichanganyikiwe FANYA KAZI WEWE MDADA HAPA KAZI TU ila wewe unataka kuleta HAPA MAPENZI TU, unafikiri ninendelea basi me ndo nishamaliza hivyo yakhe!Nampenda sana huyu mpenzi wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu. Nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpenzi wangu.
Nimechanganyikiwa, naumia mno na wanaume nimewachukia sana.
Exactly myfriend others they think jokes alwaysSometimes, p'ple hv to notice this; when someone asks for an advise, plz let us be serious, u never know in what extent your friend suffers.
I wish they would think before they comment ...Sometimes, p'ple hv to notice this; when someone asks for an advise, plz let us be serious, u never know in what extent your friend suffers.