Na hilo ndo kosa lake..!!! Mapenz ya kufichaficha mwisho wa siku mtu anachepuka na mama mkwe..!!! Muwe mnaweka waziPole mamy, ulikosea kutomtambulisha kwenye familia jamani. We achana nae bwana jipe muda utampata wa moyo wako mamy.
Sawa bwanaNa hilo ndo kosa lake..!!! Mapenz ya kufichaficha mwisho wa siku mtu anachepuka na mama mkwe..!!! Muwe mnaweka wazi
Duu huu mchezo huu!!!!!!!hamia kwangu dear, hauta juta kamwe mamito, ila nitumie picha ya dada yako nisije kurudia kosa.
Kwa maisha ya mambo leo ni kuwekana sawa kupeana ,misimamo mwanaume aamue moja kama bado unampenda lakin.Nampenda sana uyu mpz wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpz wangu nimechanganyikiwa naumia mno wanaume nimewachukia sana
Nso ujifunze kutambulisha bwna wako kwa ndugu zako wa karibu achilia mbali wazazi kwanzaNampenda sana uyu mpz wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpz wangu nimechanganyikiwa naumia mno wanaume nimewachukia sana
Bonge la verse..Haya mapenzi basi nimeyavulia shati kupenda ni ajira na mim sina vyeti
Kwan na nyie si mna mzizi uliompeleka jamaa kwa Dada yakesasa na sisi wengine unatuchukia kwani tumefanya je?
NamshauriYes ....inakera
Enhe weewe unamshaurije mpendwa
Sometimes sisi wanaume ni watu wabaya sana, ni wabinafsi sana.
Kuna mshikaji wangu ametembea karibu na ukoo mzima, sijui kwa nini, alianza na binti mdogo, akapitia dada zake na huyo binti wakubwa wawili.
Kisha akashika mama yao mdogo na hao mabinti mwisho akamalizia na shangazi yao.
Wanawake lazima muwe makini, kuwazoesha zoesha ndugu zako wa kike kwa mumeo ni kuwasogeza kwenye mdomo wa mamba.
Wa Wazungu wanasema "sharing is caring "Nani alitangulia kati yako na dada yako kuwa mapenzini na huyu mwanaume? Labda wewe ndio umekuwa namba 2? Ila kuna methali inasema "kizuri kula na...........
Malizia basi.Pole sana
Nampenda sana uyu mpz wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpz wangu nimechanganyikiwa naumia mno wanaume nimewachukia sana
Yameshakusibu wewe,hebu mpe mbinu ya kukabiliana na huo wivuKuna watu wanajibu kinafiki humu sababu haijawakuta. Ungekuwa wewe au ndg yako kafanyiwa hvo ndo ungesikilizia.
Pole sanaNampenda sana uyu mpz wangu ila anachonifanyia ni kibaya na cha aibu nimegundua anatembea na dada angu na anajua kabisa ni dada angu ila dada hajui kama ni mpz wangu nimechanganyikiwa naumia mno wanaume nimewachukia sana
Hahaaaa..Bado hujapenda tu au ulipenda ukatendwaHaya mapenzi basi nimeyavulia shati kupenda ni ajira na mim sina vyeti