Shamkware
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 1,755
- 2,303
Nianze kwa Kusema Habari wapendwa Marafiki wana Jf, Binafsi nawapongeza wajumbe wa humu tunajifunza mengi kupitia nyinyi amini usiamini. Huku kuna Great thikers kwelikweli:
Nataka tuongee kitu kimoja tu jioni hii. Ivi ikitokea kama baba wa familia akiwa mtu wa nyumbani kula kulala Baada ya kazi au biashara alokuwa akitafuta liziki kukwama kuna ubaya?!
Mama unao uwezo wa kuihudumia familia vizuri tu,
Je mume huyu ni halali kunyanyapaliwa na mkewe na kuambiwa akatafute kazi kila kukicha wakati hajui akaanzie wapi na pa kuishia? Na tuna weza sema huu ni uzembe?!
Note that: Imetokea kwa mpangaji mwenzangu hapa hom
ametemeshwa kibarua, Sasa mkewe amekuwa gumzo kumsema jamaa Inaniuma sana sometime najiuliza ningekuwa mimi sijui ningemfanya nini huyu mwanamke...! Sizani kama yuko sawa kabisa!
¤WEWE UNAMZUNGUMZIAJE HUYU MAMA¤
Nataka tuongee kitu kimoja tu jioni hii. Ivi ikitokea kama baba wa familia akiwa mtu wa nyumbani kula kulala Baada ya kazi au biashara alokuwa akitafuta liziki kukwama kuna ubaya?!
Mama unao uwezo wa kuihudumia familia vizuri tu,
Je mume huyu ni halali kunyanyapaliwa na mkewe na kuambiwa akatafute kazi kila kukicha wakati hajui akaanzie wapi na pa kuishia? Na tuna weza sema huu ni uzembe?!
Note that: Imetokea kwa mpangaji mwenzangu hapa hom
ametemeshwa kibarua, Sasa mkewe amekuwa gumzo kumsema jamaa Inaniuma sana sometime najiuliza ningekuwa mimi sijui ningemfanya nini huyu mwanamke...! Sizani kama yuko sawa kabisa!
¤WEWE UNAMZUNGUMZIAJE HUYU MAMA¤