Mwanaume bila gari ni aibu kubwa

Mwanaume bila gari ni aibu kubwa

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Za leo ndugu zangu,

Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?

Unapanda ngarangara za Gongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.

Aibu sana.
 
inategemea na shida ya usafiri sehemu husika ....kama uku kwetu scandinavia treni zipo 24/7 ,baiskeli ndo rahisi kabisa!
 
tatizo la watanzania ndio hili.... unaona usipomiliki gari maisha hayaendi ?

kama naishi kwangu kodi silipi, bills najilipia, familia yangu inasonga vizuri nina shida gani ?

unakuta mtanzania masikini ya Mungu kamshahara ni laki tano, ameunga unga mkopo amechukua ki vitz, mshahara unabaki laki 3, huku anaishi nyumba ya kupanga, mafuta hawezi kuweka zaidi ya elfu 15, tujutathimini upya
 
Unakuta hapo anakaa kwao hata baiskeli hana. Jitegemee utapata picha ya hayo yote. Labda kama una undugu na sheikh wa dar unafaidi vya kina gullam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom