Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Za leo ndugu zangu,
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za Gongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
Mwanaume kuishi bila gari inawezekanaje kwa mfano?
Unapanda ngarangara za Gongo la mboto unaning'inia kwenye chuma upo na watoto jamani. Unaenda kanisani mvua inanyesha unakimbia na familia.
Aibu sana.
