Mwanaume asiyejitambua wa kazi gani?

maneno yako sijayapenda mkuu!
Kuwa hivyo , haiondoi ubinadam kwann umfananishe na kinyes mwenzio
ah! Sio vizuri banah!:...hakupenda kwake!

Hahahaaa usijali mkuu kila mtu ana namna ya ku-express feelings
 
Hii inahusu zaidi baadhi ya makabila, kwetu hiyo kitu hamna!

Aiseee Chuwa.. eti kule kwenu ipo? Na kule kwa Kina Malya, Mrema kwa kina Rindi na Sina nayo ipo? je hapo kina Maro na mariale wapo?

Na kule kwa kina ole Saitoti, lerionka, Ole Ngavuti, Lekakenyi wapo?

Je Mzizima na watu wake, wapo?

Maneno yako yana ukweli kwa sehemu
 
Mkuu nahisi hujaelewa nlichozungumza...mi sijaongelea makubwa kama umenielewa...nazungumzia wale ambao hata madogo hawana na hawaoneshi juhudi za kutoka pale walipo

Umeona wapi hii kama sio mhusika mkuu kwny hii filamu
 
Na kweli umeongea LA maana Khantwe wengi hawawez kufanya maamuzi ya maisha yao
wamekuwa zigo tna zito ndo mana wanaishia kupelekeshwa tuu na wanawake
 
Last edited by a moderator:
Na kweli umeongea LA maana Khantwe wengi hawawez kufanya maamuzi ya maisha yao
wamekuwa zigo tna zito ndo mana wanaishia kupelekeshwa tuu na wanawake

Tukiwaambia ukweli wanaona tunawanyanyasa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa....Does it matter?

Utajiju LOL.....ila sio siri mimi nikiwa bado kijana mdogo nakua, wazazi walinihasa na kuwa wakali sanaaa nisijenge urafiki au kuzoeana na vijana/makundi ambayo vijana hawajifunzi kuwajibika na maisha yao. Hata bible inasema " Bad company corrupts good morals " na kweli ukiangalia sasa hv vijana wengi nilio kua nao mtaani kwetu kipindi hcho mpaka leo hawaeleweki...wao ni pombe, starehe na kiongea ujinga tu ukicheck wengi wetu tuna maisha yetu tayari. Hata wewe ukiwa na familia yako hakikisha unakua mkali kwa watoto wako wasimame katika mstari wa maadili mazuri na kupenda kuwajibika. Usije ukapata aibu bdae. Siri ya mafanikio ni kuwa na maarifa na kupiga kazi tu hamna kingine. No shortcuts !!
 
Utajiju LOL.....ila sio siri mimi nikiwa bado kijana mdogo nakua, wazazi walinihasa na kuwa wakali sanaaa nisijenge urafiki au kuzoeana na vijana/makundi ambayo vijana hawajifunzi kuwajibika na maisha yao. Hata bible inasema " Bad company corrupts good morals " na kweli ukiangalia sasa hv vijana wengi nilio kua nao mtaani kwetu kipindi hcho mpaka leo hawaeleweki...wao ni pombe, starehe na kiongea ujinga tu ukicheck wengi wetu tuna maisha yetu tayari. Hata wewe ukiwa na familia yako hakikisha unakua mkali kwa watoto wako wasimame katika mstari wa maadili mazuri na kupenda kuwajibika. Usije ukapata aibu bdae. Siri ya mafanikio ni kuwa na maarifa na kupiga kazi tu hamna kingine. No shortcuts !!

Umenena vema.....sio zee zima kutwa linashindia kuangalia muvi lol
 
Umenena vema.....sio zee zima kutwa linashindia kuangalia muvi lol

Mwisho wa usharobaro majukumu....We tulia tu...watazinduka jua limeshazama !! Kuna mpuuzi mmoja namfahamu anadiriki kusema kabisa yeye hana haja ya kufanya kazi, anasubiri hela za urithi !! Kweli maisha tambarare!! Dah
 
Back
Top Bottom