Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,390
Yule aliyekuja pm ukalainikaaaaJamaa gani
Yule aliyekuja pm ukalainikaaaaJamaa gani
Hahahahaaaa basi sawaaYule aliyekuja pm ukalainikaaaa
Hata mie nimejiwazia hivyo Mkuu. Ila huenda.
Hahahaha siri imefichuka ingawa siku ile kwny kitabu hukumtajaHahahahaaaa basi sawaa
Hahahaaa. Kupendwa raha sana Mangi ujue.kibongo bongo hii haita kaa itokee
Ninavojua wewe usingeweza!Aiseee. Hii ngumu kumeza aiseee.
Huko alikofika ni mbali sana aisee sababu yeye ndio alitakiwa awe njia ya kumfanya mume ampende mama yake hata kama isingekuwa kwa asilimia mia ila kwa kiasi fulani ingewezekana.
Ila ndio hivyo imeshatokea, sifa za kipekee zimuendee huyo Mke mtoa talaka.
UmefunguliwaViwonder vipo kila kona duniani
Kweli kabisa. Yaani hapo kama ni mtihani nimepata sifuri aiseeee.Ninavojua wewe usingeweza!
Ni poa JiraniJirani vipi?
Tutake radhi!Kweli kabisa. Yaani hapo kama ni mtihani nimepata sifuri aiseeee.
Mie ningepigania na kujitahidi kama ingewezekana kumfanya awe ni mume mwenye kumpenda Mama yake na sio kumpa talaka aisee.
Kwanza kwa dunia ya leo wanaume wanaojua kupenda hata hawapo walio wengi waigizaji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]Pyuuu!