Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wandugu juzi nilienda sherehe moja nikaona makaka watatu waependeza wamekula
chini raba nzuri hamad nikaona kikuku kimevaliwa na mmoja wa wah..nikasema niulize nisije
mzania vibaya maana kama mjuavyo kuna watoto wakizaliwa wanafungwa vitu kwenye mkono kama kamba nyeusi labda mwenzetu utotoni akufungwa kaamua kufunga ukubwani ya shanga shanga mguuni...yarabi swabaaana wa taala!!!!\sijui niseme dunia sijui...
tusaidiane wenye ufahamu wa vikuku
chini raba nzuri hamad nikaona kikuku kimevaliwa na mmoja wa wah..nikasema niulize nisije
mzania vibaya maana kama mjuavyo kuna watoto wakizaliwa wanafungwa vitu kwenye mkono kama kamba nyeusi labda mwenzetu utotoni akufungwa kaamua kufunga ukubwani ya shanga shanga mguuni...yarabi swabaaana wa taala!!!!\sijui niseme dunia sijui...
tusaidiane wenye ufahamu wa vikuku