Mwanaume anapodanganywa na msichana

Mwanaume anapodanganywa na msichana

Umesema kitu aisee, sio kila urafiki lazima uishie kuvuana nguo, wabongo watu wa ajabu sana, hata neno nakupenda wanaona kama dhahabu fulani, ukimwambia mtu nakupenda lazima aone nyota kichwani, wakati mtu anasababu nyingi za kumpenda mtu kikawaida kabisa na wakawa marafiki wazuri lakini sio wapenzi.

Lakini ndio tulivyo wanaume wengi, mwanaume akikaa na mwanamke sehem tulivu kitu cha kwanza mwanaume lazma afikirie ngono,pale mnapoendelea kuwa karibu zaidi ndivyo internal forces znazidi kumshawish akutongoze na akishakutana na marafiki wakampa maneno tayar lazma akuapproach.
 
Ruttashobolwa

Mmmmhhhh hawa viumbe sijui huwa wanafikiria vipi.
btw mi siamini katika urafiki wa man na woman uliopitiliza bila mapenzi ndani yake!sijui lakini..
 
Last edited by a moderator:
Unakutana na mwanamke, unamtongoza anakubali, unamuomba mtoko anakubali, mnaenda kuvunuja amri ya sita na wote mnafurahia na masifa kibao mnamwagiana kwa ufundi mliouonesha pamoja. anafurahia kila kitu chako. Ukimuambia nataka nikuoe anakuambia hapana wewe siyo chaguo langu.

Iiiiiisssssshhhhh mkuu nimeishia kutoa macho tu
 
Haha ndo madem walivyo hvyo,,inabid ucheze nao kwa akili ya kawaida tuu,,nshawah kuwa na dem wangu flan ila baada ya km miaka 2 ikabd afunguke eti kwann ckumtongoza,,eti nilimvizia tuu,,haha
 
nimewagegeda rafiki zangu wa kike kama wanne hivi kwa mbinu hii.......unampa uhuru akuzowee had anakuja geto mwenyew.....kinachofata inakuwa ni "tap in" ktk football

ndio nimemwambia Apologise lady urafiki wa mwanaume na mwanamke unaishia sehemu moja tu!
 
Last edited by a moderator:
lakn ndio tulivyo wanaume wengi, mwanaume akikaa na mwanamke sehem tulivu kitu cha kwanza mwanaume lazma afikirie ngono,, pale mnapoendelea kuwa karibu zaidi ndivyo internal forces znazidi kumshawish akutongoze na akishakutana na marafiki wakampa maneno tayar lazma akuapproach

Nikweli ni mawazo yenu wanaume, lakini mkikataliwa muwe mnakuwa wapole sio kujenga chuki, mmetisha aisee!!
 
Nikweli ni mawazo yenu wanaume, lakini mkikataliwa muwe mnakuwa wapole sio kujenga chuki, mmetisha aisee!!

Ila hapo kwenye kujenga chuki inategemeana ntu na ntu,mwingne kitendo cha kukataliwa na mwanamke alikuwa anaamini kwa % zote kuwa atampata anakichukulia kama kadhalilishwa.Wakat huo mwanaume mwingne anakichukulia kama changamoto ndan ya maisha ya mapenzi.
 
ndio nimemwambia Apologise lady urafiki wa mwanaume na mwanamke unaishia sehemu moja tu!

PRONDO, kujenga urafiki sio jambo baya, na mapenzi ya watu wanaoanza nz urafiki huwa mazuri na mara nyingi huwa na mwisho mzuri kama wanajitambua, ila tatizo wanaume mkikataliwa mnajenga chuki.
 
ila hapo kwenye kujenga chuki inategemeana ntu na ntu,
mwingne kitendo cha kukataliwa na mwanamke alikuwa anaamini kwa % zote kuwa atampata anakichukulia kama kadhalilishwa.

Wakat huo mwanaume mwingne anakichukulia kama changamoto ndan ya maisha ya mapenzi...

Nimekupata best.
 
PRONDO, kujenga urafiki sio jambo baya, na mapenzi ya watu wanaoanza nz urafiki huwa mazuri na mara nyingi huwa na mwisho mzuri kama wanajitambua, ila tatizo wanaume mkikataliwa mnajenga chuki.

Tatizo wengi wakishakataliwa ndio urafiki unavunjika, ila mimi siwezi kuwa mshika pembe!
 
PRONDO, kujenga urafiki sio jambo baya, na mapenzi ya watu wanaoanza nz urafiki huwa mazuri na mara nyingi huwa na mwisho mzuri kama wanajitambua, ila tatizo wanaume mkikataliwa mnajenga chuki.

unataka kuniambia unikatalie halafu tuendelee kuwa marafiki?mwanaume hakuumbwa hivo.....kwanza kukataliwa tu najiona nimedhalilishwa aiseee!!halaf et niendelee kuwa mshika pembe?THUBUTU
 
Hii kali aisee ila wakati mwingine kwa 1,2 na 4 inabidi uwe siku moja moja wakati mnapokutana kabla ya kumtokea unakuwa unaongea nae huku umemshika mkono na kumpetipeti mgongoni kuona kama movement ya mkono wako kwenye mwili wake ataupokeaje kama hayupo huru na wewe atakuwa anaukwepa kiana (hii nayo ni kipimo kabla ya kurusha ndoano though vibuti huwa vipo tu)
 



Hebu wanaume leo mnipe ushuhuda, kama hamjawahi kukutana na hiki kizungumkuti cha wanawake.

1.
Unakutana na binti anakuchangamkia na kila mnapokutana anakusalimia kwa bashasha huku akikupa tabasamu maridhawa linalokushawishi kumtongoza kutokana na kuvutiwa naye, lakini unapothubutu kumwambia ya moyoni anakutolea nje kifedhuli kiasi cha kukuumiza moyo wako


2. Inatokea kila asubuhi uendapo kazini na urudipo kazini unakutana na binti huyu mnayeishi naye mtaa mmoja na kila mkutanapo anakutupia macho ya mahaba huku akikusalimu kwa heshima na upendo, mara mojamoja mnapata fursa ya kuongea mawili matatu kuhusu maisha na pilika za mjini na anaonekana kuvutiwa na wewe kwa jinsi unavyozungumza naye kwa upendo,anaonekana dhahiri kukupenda na haachi kujipitisha pitisha pale inapotokea uko kibarazani kwako ukipunga upepo, moyo unakulipuka kwa mapenzi unaona huyu ndiye, lakini unapojaribu kumtupia nyavu anachomoa na kukupotezea mazima humuoni tena na anaanza kukukwepa. Unajikuta ukijiuliza huyu mwanamke ni mzima kweli au ana wazimu?


3. Mnakutana kwenye Party au Klabu, wakati wakucheza mziki anakufuata na kukuomba mcheze,unapocheza naye anakuchezea kwa manjonjo ya kimahaba huku akikushika shika nakukugeuzia makalio yake na ma hipps yaliyojazia jazia na wewe ukipata fursa yakuyashika na kuufurahia utukufu wa Muumba kiasi cha kusababisha maumbile yako ya chini kututumka kwa ashki na tamaa ya kimwili huku akili yako ikikwambia,’leo lazima nikaufaidi huu utukufu wa Mungu.’ Mara muda wa kufunga mziki umefika na kwa kuwa ni usiku wa manane kila mmoja sasa anatoka kutafuta usafiri wa kurudi kwake. Ukiwa umefuatana naye kutoka nje ya Klabu huku ukijiamini utamudu kumshawishi uondoke naye kwenye Ki Vitz chako cha mkopo, mara anakuonyesha jamaa aliyepaki Toyota MarkX akimsubirina anakujulisha,

‘Yule ni mpenzi wangu amenifuata, ahsante kwa kampani, uwe na usiku mwema…!‘

Anakuaga hivyo na kukuacha ukiwa umeduwaa. Unabaki ukisaga meno na kung’ata midomo kwa hasira……



4.
Mnafanya kazi katika jengo moja, na mara kwa mara mnakutana kwenye mghahawa kwa chakula cha mchana na wakati mwingine kwa evening coffee, wewe unakuwa ni mtu wa utani mwingi na masighara, na kila unapofanya utani anacheka na anaonekana kuufurahia utani wako na pia anaonekana kuvutiwa na uwepo wako kila mnapokutana, kwa kifupi ni kwamba anaonekana dhahiri kukupenda. Jambo hilo linakufanya utake kumvuta ili awe mpenzi wako, si kajilengesha…! Unapojaribu kumuomba mtoko ili upate wasaa wa kumtongoza anakutolea nje na kukwambia hayuko interested na wewe… unabaki unashikwa na mshangao, ni kitu gani hiki kinakutokea…


Hebu wanaume nipeni mauzoefu yenu kama mlishawahi kukutana na moja kati ya hivi visirani nilivyovieleza hapo juu

CC:
Kaizer, Asprin Kiranga The Boss, Nyani Ngabu, Mwita Maranya, Preta, snowhite, gfsonwin, King'ast, Ruttashobolwa, lara 1

Mkuje mtoe maushuhuda yenyu
Acha hizo zote sasa kuna hii yangu.
Nimekutana na mtoto mahali fulani, mtoto kanichangamkia na mimi bila kupoteza nafasi nikamchangamkia zaidi, tukaongea mengi kwa sababu mimi nilikuwa nimefikia hotel moja kali sana, ilivyofika usiku nikamwambia mimi naenda kulala ila ningependa tuende wote, bila hiyana akakubali. Na ukimcheka mtoto yuko vizuri, choo kipo vizuri, mguu ni tembo style na sio Flamingo style. Basi tulipofika room mimi nikaenda kuoga then naye akaenda kuoga tukapanda kitandani huku tukitaniana maneno ya kimahaba, sasa si mimi nikamvua boxer then ikachukua buti nikavaa, ile nataka kumchojoa kufuli ili niue, si akasema yeye hawezi kuduu na mimi eti it was just a company. Yaani mpaka asubuhi nikatoka patupu, dah siwezi kusahau ile pua niliyoangukia.
Sijawahi kuona mwanamke mwenye roho ya ukatili kama yule mweeee!
 
Hii ni noma mkuu, dah!

Acha hizo zote sasa kuna hii yangu.
Nimekutana na mtoto mahali fulani, mtoto kanichangamkia na mimi bila kupoteza nafasi nikamchangamkia zaidi, tukaongea mengi kwa sababu mimi nilikuwa nimefikia hotel moja kali sana, ilivyofika usiku nikamwambia mimi naenda kulala ila ningependa tuende wote, bila hiyana akakubali. Na ukimcheka mtoto yuko vizuri, choo kipo vizuri, mguu ni tembo style na sio Flamingo style. Basi tulipofika room mimi nikaenda kuoga then naye akaenda kuoga tukapanda kitandani huku tukitaniana maneno ya kimahaba, sasa si mimi nikamvua boxer then ikachukua buti nikavaa, ile nataka kumchojoa kufuli ili niue, si akasema yeye hawezi kuduu na mimi eti it was just a company. Yaani mpaka asubuhi nikatoka patupu, dah siwezi kusahau ile pua niliyoangukia.
Sijawahi kuona mwanamke mwenye roho ya ukatili kama yule mweeee!
 
Ningetamani initokee lakini ndio basi tena!!
 
Acha hizo zote sasa kuna hii yangu.
Nimekutana na mtoto mahali fulani, mtoto kanichangamkia na mimi bila kupoteza nafasi nikamchangamkia zaidi, tukaongea mengi kwa sababu mimi nilikuwa nimefikia hotel moja kali sana, ilivyofika usiku nikamwambia mimi naenda kulala ila ningependa tuende wote, bila hiyana akakubali. Na ukimcheka mtoto yuko vizuri, choo kipo vizuri, mguu ni tembo style na sio Flamingo style. Basi tulipofika room mimi nikaenda kuoga then naye akaenda kuoga tukapanda kitandani huku tukitaniana maneno ya kimahaba, sasa si mimi nikamvua boxer then ikachukua buti nikavaa, ile nataka kumchojoa kufuli ili niue, si akasema yeye hawezi kuduu na mimi eti it was just a company. Yaani mpaka asubuhi nikatoka patupu, dah siwezi kusahau ile pua niliyoangukia.
Sijawahi kuona mwanamke mwenye roho ya ukatili kama yule mweeee!
RICARDO KAKA umeuwa mbayaaa ha ha aha ha ha haaaaaaa.......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom