Mwanaume anapodanganywa na msichana

Mwanaume anapodanganywa na msichana

Haaaaaaaaaaaaa nimecheka sana zote hizo, lol ila wanaume mmezidi mmnajua ss ke, especially tunaopenda uchesi tunaeleweka visivyo, ila nilichojifunza hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke kabisa, kila rafiki wa kawaida wa kiume alinigeukia mwisho wa siku tunapoteza urafiki wote
Ilinitokea kwa rafiki wa kaka yangu tulizoeana sana kwani ofic zetu zilikuwa karibu, alikuwa ananisaidia mambo mengi ya kikazi ilienda hivyo kwa miaka 2 na nusu,tulifika hatua anitoa out ananirudisha vizuri home, tunapeana maushauri kibao ya maisha, loool kilichotokea sasa, wanaume wengi niliowachukulia friends waliponitongoza tu ilikuwa balaa na mwisho wa urafiki, huyu sasa siku mm ndiyo nilimtoa out kumshukuru kunisaidia jambo fulani la kizazi,kama mnavyotujua wahasibu kwa kuharibu,kweli alinisaidia sana, baada ya dinner tulitumia usafiri wake, tukiwa tunarudi home story,kucheka kwa sana gafla akasimamisha gari sehemu nzuri akasema kuna kitu anataka kunionesha, mmmh alinishika uso na makiss kibao, daah hadi leo sikuelewa ilikuwaje, tukaishia kusex kwake, hadi leo ni mtu wangu, hatukutongozana, na tunapendana sana

Alikuwa sawa, sasa mwanamke umeshazoeana naye na mna ukaribu sana unaanza kujiumauma kutongoza. Tengeneza mazingira ya kumgegeda mengine yatajiseti.
 
@zinduna umenifanya nikumbuke mbali sana hii thread yako na umenikumbusha mbali sana na inatukumbusha machungu ambayo unayapata baada ya kuweka too much expectation kwa binti na siku ya siku unakumbana na kituko cha mwaka au aibu ya mwaka au hata kumwagiwa kinywaji au kutukanwa mbele ya kadamnasi kisa ulitegemea jibu positive linatoka negative .

Huwa sometime tunajipa matumaini kuwa hapa nilipo na nilipofika ni kama kumuangusha tembo kwa fimbo yaani sitakataliwa. Kumbe unakuta mwenzako yuko mbali kabisa na wala hana hilo wazo na wewe na tatizo ni ile wanaume tunaamini mwanamke hawezi kukukataa wala kukuaibisha mahali popote au kwa hii hatua niliyofikia mimi na yeye. Na kwamba hapa alipofikia ana asilimia mia ya hisia za kunipenda wala hatanikataa. Na yanayo tudanganya zaidi ni matendo na hisia wanazo onesha muda mwingine zinazo tupelekea tuzichanganye na hisia za mapenzi na unakuta hizi hisia wala sio za mapenzi ni za kukupenda tuu kiurafiki zaidi.

Nakumbuka ilikuwa 2006 kuna binti alitokea kunizoea sana kwenye mazingira ya kazi. Yaani kazini ilikuwa kama kumbikumbi kila swala analopata au analoambiwa lazima anishirikishe na kazi zangu zile ambazo zilikuwa zinahusu labda fani yake alikuwa hasiti kuzifanya kwa moyo hata kwa kuchelewa kuondoka kwenye mazingira ya ofisi. Muda ambao alikuwa free hana majukumu makubwa ofisini kwake ni lazima aje kwangu tunapiga story na muda mwingine anaona kwenda canteen mchana haina maana anaenda analeta msosi tunakula pamoja ofisini. Kwangu mimi niliona kwa kuwa alikuja mgeni ofisini na mtu wa kwanza kumzoea alikuwa mimi niliona ni just a friend na kutafuta kampani ya mtu wa karibu na kumfanya asijione mpweke kwenye mazingira ya ofisi mpya.

Tukitoka ofisi japo tulikuwa na usafiri wa pamoja ni lazima ahakikishe nimefika home kwanza na yeye anakuwa wa mwisho kwenda kushushwa na dereva na akifika lazima anitext kwamba amefika home kwake salama. Usiku baada ya msosi na akishajua na mimi nishamaliza kula ni lazima tunaanza mazungumzo kwa sms au simu na yanachukua muda mrefu sana kuongelea masuala mbalimbali mpaka ya ndani kabisa ya kimapenzi kuulizana mahusiano yetu na wapi tulijikwaa katika mahusiano na wapi tunapaswa kurekebisha katika mahusiano iwapo tutakuwa kwenye mahusiano mapya.

Mahusiano na urafiki huu uliendelea kwa kufikia kutoana out weekend na kupeana zawadi mbalimbali kwenye siku za kuzaliwa au Valentine na yeye alikuw aanaongoza sana kunipa zawadi siku yoyote akijisikia anakuletea zawadi. Kwa ofisi kila mtu alielewa kuwa hapa hawa ni zaidi ya marafiki ila siri ilikuwa ndani ya mioyo yetu. Wakati huo sikuwa kwenye mahusiano baada ya kuachana na mtu wangu wa karibu. Na ofisini walikuwa wamnaelewa kuwa kipindi hicho niko single sina mtu so walipoona ule ukaribu wakajua hapa ni penyewe hawa wameshakubaliana. Japo haikuwepo hisia mwanzoni kuwa anaweza kuchukua nafasi yoyote maishani mwangu nilianza kumpenda kutokana na kujali kwake na namna alivyonichukulia. Alikuwa hafanyi maamuzi yoyote bila kunishirikisha au kwenda mahali popote bila mimi kuwa na taarifa yuko wapi na anafanya nini kwa wakati huo. Mwanaume hisia zikawepo kuwa anaweza kuwa rafiki mzuri na niende zaidi ya hapo kuwa mpenzi wake na mwandani wa maisha yake ya baadae.

Nakumbuka ilikuwa birthday yangu na ni yeye alinifanyia surprise. Alitayarisha kila kitu sehem ambako tulikuwa tunapenda sana kwenda. Aliwaambia baadhi ya marafiki zake na baadhi ya marafiki zangu ambao nilishawatambulisha kwake. Tulipotoka ofisini jioni akaniomba niende home nibadilishe siku hiyo ananitoa out. Nilikubaliana nae na nikaenda nyumbani kujiandaa na wakati nampigia kumuuliza yuko wapi nimpitie yeye alinijulisha sehemu ya kukutana so nisihangaike nimkute sehem ile yeye ameshatangulia.

Kwa kweli alipendeza katika siku ambazo nilikuwa natoka nae out siku hiyo alivunja sanduku. Alikuwakatika ubora wake na bora zaidi ya siku zote. Kukutana tena na ile surprise ya birthday aliyoniandalia nilijikuta moyoni nawaza today will be my date nivunje ukimya au nitajikuta nachelewa kuomba jamvi.

Wakati sherehe inaendelea nilivunja ukimya na kumweleza hisia zangu juu yake............................. to my surprise ilikuwa pigo kubwa sana na sherehe yote iliharibika. Kwanza alipata mshtuko na kuongea maneno ambayo yaliniumiza sana. Alinichukulia kama rafiki yake wa karibu na mshauri wake na kamwe hakutarajia hata siku moja nivuke huo mstari. Machozi yalimtoka na ikawa ni kazi kumbembeleza ili nisije nikaharibu sherehe. Japo alitaka kuondoka nilifanikiwa kumtuliz ana akabaki ila sio katika uchangamfu tena kama wa awali.

Iliishia pale pale kurudi ofisini mazoea yakapungua na ule ukaribu ukatoweka na tukabaki kama friends. Hadi niandikapo ameolewa na ana mtoto mmoja kwa sasa ila still we are friends japo sio tena maana ni mali ya mtu nisije kumtibulia kwa mume wake.
Heeee
 
Hahaha hiyo ilishawahi nitokea wakati nipo chuo but nikajifunza kutokana na makosa,akatokea nyingine sikufanya makosa nilikuwa naishi mwenyewe nimepanga nje ya chuo kuna wadada walikuwa marafiki zangu so wkend wakaja nichukua kwenda club,usiku wakati wakurudi kwa vile chuo kipo mbali wakaja lala kwangu wote wawili tena kitanda kimoja Mimi wameniweka kati hehehe tena wamevaaa zile nguo zao laini za ndani usiku nilishindwa pata usingizi Mara nilaliwe Mara nipandishiwe miguuu but sikujaribu kuwashika,kulipo kucha wakaishia kucheka tu huku wakisema duuu wee kiboko angekuwa mvulana mwingine hapa tungejikuta tumechafuka hahaha kumbe hawakujua Mimi nilikuwa nawavuta mdogo mdogo mwishowe wakanizoea balaaa unajua kilicho tokea niliwala wote wawili na maisha yakasonga so ushauri wangu wanaume tusiwe tunakurupuka tuandae mazingira kila kitu kitajipaaaaaa
Hahaha
 
Back
Top Bottom