Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,608
Sielewi ni kwa nn wanaume wakiona unakuwa naye karibu, unapiganaye story, unamtania, unaweza hata kuomba ushauri wa kifamilia yeye akili yake inakwenda moja kwa moja kwenye ngono, mm napenda sana kuwa na rafiki wa kuime ambaye tuko age wise na tunaongea mambo mengi lkn si kuishia kwenye ngono, lkn kila nimpatae lazima anitongoze, huwa nachukia sana na ni kweli huwa naishia kumuona mtu wa ajabu sana. ukiwa na mwanaume kama rafiki ni vizuri msingonoke maana atasaidiana kwa kila hali ila mkishangonoka tu na ugomvi unaweza ukatokea maana hautakuwa huru tena kuongea na wanaume wengine kama ulivyokuwa mwanzo.
NB WANAUME si kila mwanamke anayekuongelesha na kukufurahia basi anapenda muishie kwenye ngono, tunapenda kuwa na marafiki wa kiume.
Hawajui kuwa sio kila rafiki anafaa kuwa mpenzi,
Ila kwakweli hakuna urafiki baina ya mwanaume na mwanamke, lazima mwanaume ataishia kutaka papuchi tu, ona tu comment zao humu