Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,776
Nakubaliana na wewe ila inategemea na huyo unayemsikiliza yupo vizuri kichwani au ni wale wanaowaza vikoba kuliko hata mume wake.Ndio hivyo
Kwani uongo??
Tatizo hamtusikilizagi
Na wote mnaotusikiliza mnatoboaga Sana kimaisha