Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Makonda ndugu yako? Maana kuna pahala mmefanana kwenye maneno yakoNa wachaga wanavyopenda hela. Hata ukicheat hakuachi.
Ila huyu ndugu yangu kiboko, jf kila mtu ni mume wake.
cute b tuachie na sisi wengine.
Hapana mkuu, hapa nimepata jeuri ya kuandika maana sina mpango wa kwenda KilimanjaroMakonda ndugu yako? Maana kuna pahala mmefanana kwenye maneno yako
TULISHAONYWA KUISHI NAO KWA AKILI,KUISHI KWA AKILI NI PAMOJA NA KUJUA AKILI ZA MKEO AU MPENZIO.Jiulize kwanza anajua kutunza hela??
Ana akili ya maendeleo??
Kuna mtu alimuacha mke na mimba ya mwezi 8 na hajamrudia hadi leo????
Alikuwa Ana goli la kuchoma nyama choma Arusha,kila siku Ana mpa mke elfu 20 aweke toka mimba imeanza hadi mimba Ina miezi nane.Kila siku mama tunza hiyo itatusaidia tukipata mtoto hapo na hela ya chakula anatoa na nyama anarudi nayo karibu kila siku...
Miezi nane imefika, mwanamke inabidi aende kujifungulia kwa mama ake maana jamaa Ni yatima, mwanaume anauliza ile pesa iko wapi tujue unaenda na sh ngapi kwa mama, Mwanamke anasema Ana laki na ishirini..miezi 8 *30*20,000=milioni 5 kasoro hiyo.Mara nilimlipia mdogo wangu Ada mara nilinunua sijui mavitu gani.Jamaa alilia kama mtoto.
Baada ya hapo akasusa mtoto na akamwambia mwanamke ukienda kamwe usitie mguu wako kwangu.Kaoa saivi na Ana nyumba tyr.
Sure, kila baby na baby wakeWanawake hawajawahi tosheka na hela hata siku moja.
Msome kwanza mkeo yukoje ndio uone anastahili kupewa kiasi gani.
Asije akawa Ni wale akiona hela atamaliza fasheni zote za katani wanazofunga vichwani mwao na familia ikateseka.
Wanawake wengine inakubidi baba ununue kila kitu Cha mwezi mzima ndio Mambo yataenda.
In short hakuna general rule.
Hapa unazungumzia mwanamke asiye na kazi??Inatakiwa mtupe 10% kwa ajili ya matumizi binafsi, halafu inayobaki mtakuwa mnaacha hela ya chakula na matumizi ya watoto kila siku.
Kwa wote, wenye kazi na wasio na kazi.Hapa unazungumzia mwanamke asiye na kazi??
Sasa kama anafanya kazi unampa 10% ya matumizi binafsi ya nn??Kwa wote, wenye kazi na wasio na kazi.
Talk to me babe!Natafuta mchumba kwenye huu uzi
Kama zawadi, ya kukufulia nguo zako na kukupikia.Sasa kama anafanya kazi unampa 10% ya matumizi binafsi ya nn??
Mimi huwa nampa mke wangu cute b wote alafu anakuwa kila siku anapanga budget ya familia.
Usiamini kila unachokiona. Nyingi ni chit chat maisha yasonge tuu.Na wachaga wanavyopenda hela. Hata ukicheat hakuachi.
Ila huyu ndugu yangu kiboko, jf kila mtu ni mume wake.
cute b tuachie na sisi wengine.
Kama zawadi, ya kukufulia nguo zako na kukupikia.
Basi zawadi kwa kukupa tunda kila usiku.Nguo anafua dada wa kazi....!
Even cookig.