Hujasema unataka shilingi ngapi kwa mwezi lol
Unatoa asilimia ngapi vile?Ha ha ha ha ha
Wa nini!Natafuta mchumba kwenye huu uzi
Itadepend na lifestyle yao .Mwanaume akishapokea mshahara anatakiwa ampe mkewe asilimia ngapi ya mshahara na asidai pesa nyingine hadi mwezi ujao, pesa hizo ni pamoja na pesa za chakula, matumizi yake na matumizi ya watoto
hamna kwa life style yoyote ileItadepend na lifestyle yao .
Natafuta mchumba kwenye huu uzi
Maana yake hiyo ni paka sio mkeJiulize kwanza anajua kutunza hela??
Ana akili ya maendeleo??
Kuna mtu alimuacha mke na mimba ya mwezi 8 na hajamrudia hadi leo????
Alikuwa Ana goli la kuchoma nyama choma Arusha,kila siku Ana mpa mke elfu 20 aweke toka mimba imeanza hadi mimba Ina miezi nane.Kila siku mama tunza hiyo itatusaidia tukipata mtoto hapo na hela ya chakula anatoa na nyama anarudi nayo karibu kila siku...
Miezi nane imefika, mwanamke inabidi aende kujifungulia kwa mama ake maana jamaa Ni yatima, mwanaume anauliza ile pesa iko wapi tujue unaenda na sh ngapi kwa mama, Mwanamke anasema Ana laki na ishirini..miezi 8 *30*20,000=milioni 5 kasoro hiyo.Mara nilimlipia mdogo wangu Ada mara nilinunua sijui mavitu gani.Jamaa alilia kama mtoto.
Baada ya hapo akasusa mtoto na akamwambia mwanamke ukienda kamwe usitie mguu wako kwangu.Kaoa saivi na Ana nyumba tyr.
Natafuta mchumba kwenye huu uzi
Kigezo ni hizo asilimia tu mchumbaUmenipata.
Au kuna masharti na vigezo kuzingatiwa?
Siri yetuMpe zote tu mkuu!!
Ila mimi hua najiuliza hivi Nyoka alimwambiaga nini mwanamke juu ya pesa?
Wa kunipa asilimiaWa nini!
Hata ukimpa 100% ya kipato chako haisaidii kitu, budget ya mwanamke inapangwa kutokana na hela iliyopo na mahitaji ya mwanamke hayana kikomo Hata ukimpa Mali za dunia yote. Mahitaji ya mwanamke yanabadilika kutokana na hisia zake, zikibadilika na mahitaji yanabadilika.Mwanaume akishapokea mshahara anatakiwa ampe mkewe asilimia ngapi ya mshahara na asidai pesa nyingine hadi mwezi ujao, pesa hizo ni pamoja na pesa za chakula, matumizi yake na matumizi ya watoto
Hela ya kumpa inategemea na hayaMwanaume akishapokea mshahara anatakiwa ampe mkewe asilimia ngapi ya mshahara na asidai pesa nyingine hadi mwezi ujao, pesa hizo ni pamoja na pesa za chakula, matumizi yake na matumizi ya watoto