Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,006
- 11,309
Aisee, rejea sikukuu hizi mbili kila mwakaKulima sio kazi?
Oooh sorry kumbe unataka 'collar job'
1. Sikukuu ya wafanyakazi
2. Sikukuu ya wakulima.
Mimi nataka 'collar work'
Aisee, rejea sikukuu hizi mbili kila mwakaKulima sio kazi?
Oooh sorry kumbe unataka 'collar job'
Hahahaha kaka yangu huyo
Hahahahaha dah kaka bwanaLikewise to women...
Mie mwenyewe leo hii tu nimepewa kibuti cha mbavu na ledada , ni baada tu ya kugundua kuwa Kaveli ni jobless a.k.a unga unga mjini, msosi wa manati. Geto lina godoro tu liloisha kava.
So hili suala lipo kote kote. Ila hata hivyo, kazi ya moyo ni kusukuma damu, 'maloveee' ni kiherehere chetu tu wanadamu.
-Kaveli-
Kuna siku utatamani kutongozwa lakini hutapata nafasi hiyo, kwa mwanamke life starts at 30. Kaa mkao wa kula
Mbona mm nakuvumilia, hehehehehehehYaani asilimia kubwa ya wanaume wanakuwa hawataki wanawake ambao hawana kazi. Wengi watatulia na walio na ramani.
Yupo tayari kumvumilia dent alioko shule kuliko mwanamke asiye na kazi. Mara nyingi naona hili ni tatizo.
Mbona nyie watu wanawakuta hamna hata hela ya maji wanawasaidia lakini nyie hamuwasaidii?
Halafu mnapenda mpewe hela. Hamtaki kuacha kuomba hela, hii tabia imeanza lini??
Haahaaa
Hahahahaha dah kaka bwana
Hahahahaha ulinikimbia alafu kakaKwa msisitizo, tayari jina lishabadilika... now naitwa 'kaka'. Daah ama kweli sie walalahoi wanawake wazuri tutaishia kuwala kwa macho na kuwaita 'dada/shemeji' tu.
-Kaveli-
Hahahahaha ulinikimbia alafu kaka
Anhaa sawaSina ubavu wa kukukimbia, naanzaje kwa mfano! Nipo kwa sana tu.
-Kaveli-
Kuna siku utatamani kutongozwa lakini hutapata nafasi hiyo, kwa mwanamke life starts at 30. Kaa mkao wa kula
Sent using Jamii Forums mobile app