Mwanaume akijua huna kazi anakuacha. Najiuliza kwanini?

katoto kazuri

JF-Expert Member
Feb 10, 2018
6,083
5,659
Yaani asilimia kubwa ya wanaume wanakuwa hawataki wanawake ambao hawana kazi. Wengi watatulia na walio na ramani.

Yupo tayari kumvumilia dent alioko shule kuliko mwanamke asiye na kazi. Mara nyingi naona hili ni tatizo.

Mbona nyie watu wanawakuta hamna hata hela ya maji wanawasaidia lakini nyie hamuwasaidii?

Halafu mnapenda mpewe hela. Hamtaki kuacha kuomba hela, hii tabia imeanza lini??
 
Yaani asilimia kubwa ya wanaume wanakuwa hawataki wanawake ambao hawana kazi watatulia na walio naramani.
Yupo tayari kumvulia dent shule kuliko mwanamke asiye nakazi.
So mara nyingi naona hili nitatizo.
Sure.
Mbona nyie watu wanawakuta hamna hata hela ya maji wanawasaidia lakini nyie hamuwasaidii.??
Halafu mnapenda mupewe hela .
Hamutaki kuacha kuomba hela hii tabia imeanza lini??
Mi hata kama huna kazi ntakupenda tu ili mradi on bed uwe vizuri, makaangizi nayo uyaweze, housekeeping na usafi binafsi pia uwe poa...mengine ni ziada
 
Yaani asilimia kubwa ya wanaume wanakuwa hawataki wanawake ambao hawana kazi watatulia na walio naramani.
Yupo tayari kumvulia dent shule kuliko mwanamke asiye nakazi.
So mara nyingi naona hili nitatizo.
Sure.
Mbona nyie watu wanawakuta hamna hata hela ya maji wanawasaidia lakini nyie hamuwasaidii.??
Halafu mnapenda mupewe hela .
Hamutaki kuacha kuomba hela hii tabia imeanza lini??
Pole sana,inaonekana wew n mhanga wa hilo jambo,shukuru amekuacha mapema maana hakufai,mwanaume kama kweli amekupenda na hauna kazi basi yeye anakuajili kwa kukupa biashara ili nawe uchangie kipato cha nyumbani(boss n mmeo),wengne wanapenda wake zao wawe wajasiriamali na sio waajiliwa,utampata mwenye hayo maono keep it up(kizungu nam nikijua),kama umeshindwa kunywa chai kwa sababu amekuacha jizarau
(NGOJA NIMALIZIE CHAI LABDA NIKISHIBA NTAKUSHAURI VINGNE)
 
Yaani asilimia kubwa ya wanaume wanakuwa hawataki wanawake ambao hawana kazi watatulia na walio naramani.
Yupo tayari kumvulia dent shule kuliko mwanamke asiye nakazi.
So mara nyingi naona hili nitatizo.
Sure.
Mbona nyie watu wanawakuta hamna hata hela ya maji wanawasaidia lakini nyie hamuwasaidii.??
Halafu mnapenda mupewe hela .
Hamutaki kuacha kuomba hela hii tabia imeanza lini??
Katoto kazuri unamaanisha mpaka leo hii bado haujapata kazi?


Maendeleo hayana chama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom