The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
nanii?
hili bandiko lako la ngapi?
nanii?
la kwanza.hili bandiko lako la ngapi?
la kwanza.
Hivi kwani wanaokuwa kanisani ni kina nani? hakuna watu wa JF wanaokuwaga kanisani? Tunaokutana nao shopping na sehemu za kijamii ni kina nani?? (sio hawa humu JF?), na wakazini je? (sio hawa JF). Na hawa waharibifu wa JF (according to you) wanatokea wapi???(sio makanisani, shopping na makazini?) naomba uondoe mtazamo wako potofu, popote pale unaweza ukatendwa big time, naomba uombe wadau radhi maana ni kama unaona watu wa JF ni matatizo matupu. tubadili mtazamo jamani, social media zikitumiwa vizuri zinaweza kabisa kuisaidia jamii, na the good thing kuhusu hapa, unaweka jina sio real na unaongea kile unachojisikia katika moyo wako, haya huko shopping, kanisani, kazini utaanza kujichekelesha na kila mtu? au utasimamisha watu uwaambie unataka ukutane na mwanaume? Tuache na JF yetu.
umeshinda hongera. happy?Wakanisani, kazini n.k hao unawaona physically na mnaongea physically ni rahisi kwa wewe kuwaelewa zaidi kiuhalisia, kuliko wa mtandaoni. Wa mtandaoni unapompa mwaliko wa hivyo huwa anajianda mara nyingi ni kimagumashi.
JF ina watu wote, wapo wenye busara zao pia. Na hawa wenye busara (esp 34yrs old & up) hata siku moja hawatatafuta mke humu au kwenye mitandao mingine, wenye busara wana strategy zao zenye busara za kupata mke, lazima uelewe hicho kitu. Ma player ndio watakaokutokea humu JF na kwenye mitandao mingine.
Ni sawa social media zikitumiwa vizuri zinaweza kuisaidia jamii, lakini je ni mara zote zinatumiwa vizuri?
Kama huko shopping na kanisani utakuwa unajichekesha kwa kila mtu na kuwaambia unataka mwanaume then wewe huna mbinu za kupata mwanaume na ndio maana unahangaika.
Sasa kuweka bango JF si ni sawa na kumwambia kila mwanaume wa humu kuwa unatafuta mwanaume? unakataa nini na unafanya nini?
Mimi nimetoa ushauri tu, ungeweza kuignore kama unaona haufai.
Kwa mtazamo uliokuwa nao, sishangai kukuona uko single na unahangaika kutafuta wanaume. Na bado una safari ndefu na usipoangalia unaweza usifanikiwe kumpata mwenye vigezo ulivyovitaja.
haha si jina halisi
Hivi kwani wanaokuwa kanisani ni kina nani? hakuna watu wa JF wanaokuwaga kanisani? Tunaokutana nao shopping na sehemu za kijamii ni kina nani?? (sio hawa humu JF?), na wakazini je? (sio hawa JF). Na hawa waharibifu wa JF (according to you) wanatokea wapi???(sio makanisani, shopping na makazini?) naomba uondoe mtazamo wako potofu, popote pale unaweza ukatendwa big time, naomba uombe wadau radhi maana ni kama unaona watu wa JF ni matatizo matupu. tubadili mtazamo jamani, social media zikitumiwa vizuri zinaweza kabisa kuisaidia jamii, na the good thing kuhusu hapa, unaweka jina sio real na unaongea kile unachojisikia katika moyo wako, haya huko shopping, kanisani, kazini utaanza kujichekelesha na kila mtu? au utasimamisha watu uwaambie unataka ukutane na mwanaume? Tuache na JF yetu.
Unaonekana umekomaa sana kifikra,na nimeupenda msimamo wako.Kila la kheri mama na wala wasikukatishe tamaa,mimi mwenyewe mtarajiwa wangu niekutana naye humuhumu JF..
Wakanisani, kazini n.k hao unawaona physically na mnaongea physically ni rahisi kwa wewe kuwaelewa zaidi kiuhalisia, kuliko wa mtandaoni. Wa mtandaoni unapompa mwaliko wa hivyo huwa anajianda mara nyingi ni kimagumashi.
JF ina watu wote, wapo wenye busara zao pia. Na hawa wenye busara (esp 34yrs old & up) hata siku moja hawatatafuta mke humu au kwenye mitandao mingine, wenye busara wana strategy zao zenye busara za kupata mke, lazima uelewe hicho kitu. Ma player ndio watakaokutokea humu JF na kwenye mitandao mingine.
Ni sawa social media zikitumiwa vizuri zinaweza kuisaidia jamii, lakini je ni mara zote zinatumiwa vizuri?
Kama huko shopping na kanisani utakuwa unajichekesha kwa kila mtu na kuwaambia unataka mwanaume then wewe huna mbinu za kupata mwanaume na ndio maana unahangaika.
Sasa kuweka bango JF si ni sawa na kumwambia kila mwanaume wa humu kuwa unatafuta mwanaume? unakataa nini na unafanya nini?
Mimi nimetoa ushauri tu, ungeweza kuignore kama unaona haufai.
Kwa mtazamo uliokuwa nao, sishangai kukuona uko single na unahangaika kutafuta wanaume. Na bado una safari ndefu na usipoangalia unaweza usifanikiwe kumpata mwenye vigezo ulivyovitaja.
Yaani ubabu wote huo bado hujaoa na hauitwi vikao vya wazee? Aisee! Hebu acha kumkopa dada wa watu, hata mwezi mwandamo unatarajiwa na unaoneka. Anzisha thread ya kuomba michango fasta