triciamasawe
Member
- Mar 14, 2013
- 21
- 5
Ni mama (miaka 33) wa watoto wawili kwa baba mmoja, muajiriwa na ninafanya biashara, kielimu nina shahada, naishi na watoto wangu mwenyewe. Mwili wangu wa wastani kabisa, rangi light brown.
Ni haja ya moyo wangu na ikimpendeza mungu nikutane na mwanaume (single/divorced/widowed) anayeishi peke yake na asiyekuwa na mahusiano, ambaye hasa anahitaji kuwa na serious relationship ambayo ikipendeza tutaelekea next steps.
Awe mkristo mcha mungu, awe na wa/mtoto, awe mtu anayependa na kujali watoto, business minded, elimu angalau diploma, awe sharp, mchangamfu, aliyeajiriwa na/au anabiashara binafsi, napenda ambaye yuko busy na shughuli sababu mimi pia niko busy sana tutaendana.
asiyekunywa pombe au anayekunywa kidogo sana, wa kanda ya kaskazini itapendeza lakini si muhimu sana. Awe anayejipenda na awe na mwili wa wastani.
Maswali yote PM tafadhali, au mail triciamasawe@yahoo.com
Asanteni.
Ni haja ya moyo wangu na ikimpendeza mungu nikutane na mwanaume (single/divorced/widowed) anayeishi peke yake na asiyekuwa na mahusiano, ambaye hasa anahitaji kuwa na serious relationship ambayo ikipendeza tutaelekea next steps.
Awe mkristo mcha mungu, awe na wa/mtoto, awe mtu anayependa na kujali watoto, business minded, elimu angalau diploma, awe sharp, mchangamfu, aliyeajiriwa na/au anabiashara binafsi, napenda ambaye yuko busy na shughuli sababu mimi pia niko busy sana tutaendana.
asiyekunywa pombe au anayekunywa kidogo sana, wa kanda ya kaskazini itapendeza lakini si muhimu sana. Awe anayejipenda na awe na mwili wa wastani.
Maswali yote PM tafadhali, au mail triciamasawe@yahoo.com
Asanteni.