Mwanasheria/wakili anatafuta kazi

Mwanasheria/wakili anatafuta kazi

kt the irreplaceable

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
2,389
Reaction score
4,935
Nina mdogo wangu binti, miaka 28 akiwa na uzoefu wa miaka 2 ya kazi.

Kwa sasa yupo Dar es salaam anahitaji kazi aidha ya kuajiriwa au mshauri binafsi wa masuala ya kisheria kwenye taasisi yoyote. Kwa yoyote aliye serious plz inbox kwa mawasiliano zaidi.
 
Nina mdogo wangu binti, miaka 28 akiwa na uzoefu wa miaka 2 ya kazi. Kwa sasa yupo Dar es salaam anahitaji kazi aidha ya kuajiriwa au mshauri binafsi wa masuala ya kisheria kwenye taasisi yoyote. Kwa yoyote aliye serious plz inbox kwa mawasiliano zaidi.
Ushauri ambao hatoujutia , kama unaweza mfadhili atoke daar aende wilaya zisizochangamka ambako wanasheria ni wachache afungue ofisi yake ,chumba kimoja tu hakizidi50k , kiti na meza , akubali jitesa baada ya hapo atateseka mwezi tu ila ataanza pata kazi nyingi sana kwa malipo mazuri na kuajiriwa ataona uchuro tu
 
Ushauri ambao hatoujutia , kama unaweza mfadhili atoke daar aende wilaya zisizochangamka ambako wanasheria ni wachache afungue ofisi yake ,chumba kimoja tu hakizidi50k , kiti na meza , akubali jitesa baada ya hapo atateseka mwezi tu ila ataanza pata kazi nyingi sana kwa malipo mazuri na kuajiriwa ataona uchuro tu
Ushauri mzuri sana.
 
Nina mdogo wangu binti, miaka 28 akiwa na uzoefu wa miaka 2 ya kazi.

Kwa sasa yupo Dar es salaam anahitaji kazi aidha ya kuajiriwa au mshauri binafsi wa masuala ya kisheria kwenye taasisi yoyote. Kwa yoyote aliye serious plz inbox kwa mawasiliano zaidi.
Naomba official name yake anayitumia kwenye roll of advocates (TAMS)
 
Aje Dodoma afungue Ofisi yake,nitamfadhili malazi bure kwa miezi sita,wewe Kaka mtu mpe Mtaji tu(Kodi ya Ofisi,Fenicha nk)
Kuna demu wangu nilimfadhili kufungua ofisi ya uwakili Dodoma,aliishia kupata mteja mmoja tu wa kupiga mhuri.ikabidi aifunge,saiv ni mwajiriwa wa serikali huko ofisi ya DPP.wagogo wabahili hatari
 
Kuna demu wangu nilimfadhili kufungua ofisi ya uwakili Dodoma,aliishia kupata mteja mmoja tu wa kupiga mhuri.ikabidi aifunge,saiv ni mwajiriwa wa serikali huko ofisi ya DPP.wagogo wabahili hatari
Dodoma ni kama nyumbani, hatuna shida na makazi au malazi, ahsante.
 
Nina mdogo wangu binti, miaka 28 akiwa na uzoefu wa miaka 2 ya kazi.

Kwa sasa yupo Dar es salaam anahitaji kazi aidha ya kuajiriwa au mshauri binafsi wa masuala ya kisheria kwenye taasisi yoyote. Kwa yoyote aliye serious plz inbox kwa mawasiliano zaidi.
hello, habari... mdogo wako ameshapata kazi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom