Mwanasheria wa NEMC akamatwa na TAKUKURU..

Mwanasheria wa NEMC akamatwa na TAKUKURU..

Kesi za rushwa mwisho wake mara nyingi huwa ushahidi unakosekana hapo tu ndo huwa sielewi..,
 
Uongozi siyo kitu kidogo nyie, msijidai kuwa skeptical tu kila wakati. Nendeni mgombea basi ili mje mtufanyie hayo mnayojidai kukosoa kosoa. Viongozi wetu ni watu kama wengine so hata awe nani, hawezi kusimamia kwa ubora kila jambo kwa namna inayokupendeza.
Tuwa-judge kwa vitendo vyao but zaidi kwa dhamira zao. Tumekuwa na watangulizi wa JPM wote tuliona walivyokuwa wazito kwenye rushwa, amekuja huyu, sasa ndio tunajidai kumnyooshea kidole wakati yeye wenyewe ndo kaanzisha kampeni hiyo huku sisi ukiwa hatuamini kama atasimamia kwa mafanikio kama anavyofanya. Inawezekana Wewe ni mmojawapo wa walioathirika na kampeni za Mzilankende, hilo ni kosa lako, acha rushwa.
Mtu mwenye akili timamu hutazama mambo yote na kila moja hulipima kwa uzito wake hapumbazwi na jema moja na kufuta maovu yote na wala hachukizwi na baya moja na kufuta mema yoye bali hupima jema kwa wema wake na kulipongeza na pia hupima ovu katika uovu wake na kulikosoa , hasombwi na upepo wa jambo moja moja , hizo ni sifa za mtu mwenye akili timamu kabisa na anaye jua kuzitumia hivyo anapo kosea sitaacha kusema ukweli maana mimi si muumin wa unafiki na uongo.
 
Yule dogo suguta yuko wapi? Naona alisomewa novena na mama lwakatare.
 
Kazi zingine bwana! Ukokomaa unarogwa ukivuta unadakwa.
 
Rushwa kutoka kwa mkalimani?

Polisi wanamuomba rushwa hata ndugu yake, wala siwezi kuwatetea.

Unaweza kua na ishu polisi ukamtafuta ndugu yako unaefaham yuko hapo ukashangaa akakuomba rushwa na bado akipata tatizo la kifamilia atakuja kwako umsaidie.

ni kweli kabisa Mimi imewahi kunitokea
 
Hii serikali ili tuishi kilokole inatakiwa iboreshe mahitaji ya watumishi rushwa ni shinikizo la malipo madogo mtu analipwa basic salary laki 8(maxim salary kwa watumishi wengi serikalini) Toa income tax,bodi ya mkopo,bili ya umeme,kodi ya nyumba,ada ya watoto,bili ya maji,king'uzi,makato ya mkopo bank,mifuko ya jamii,taka taka,michango ya harusi,hajaumwa mtu au member wa familiy,usafiri kwenda na kurudi kazini,ale kazini ,aache hela ya kula nyumbani,hela ya vocha, emmegencies na vingine sijaviandika hapa vinamuandama mtumishi kwa nini asijiingize kwenye tamaa ya kupokea rushwa? VYOMBO VINGINE VIMEUNDWA KUTUFARAKANISHA WENYEWE KWA WENYEWE HUKU MTAANI IKUMBUKWE KILA MTU ANAPENDA AFANYE KAZI KILOKOLE SEMA SHIDA ZINAMSHINIKIZA INCHI NYINGI ZILIZOFANIKIWA KUPAMBANA NA RUSHWA ZILIBORESHA MASLAHI YA MFANYA KAZI KWANZA SIO TUNAKOMAA NA SHERIA NGUMU BILA TAFAKALI.
 
Nimeona mahali kuna mtu amewaita "takokuu" 😀😀
 
Nikiona trafiki wa gerezani au shauri moyo Dar kashikwa ndio nitajua takokuru wanafanza kazi yao kiumakini. TSKUKURU NJOONI GEREZANI MUMNASE YULE MAMA MNENE
 
Kuna baadhi ya wanasheria wanaendekeza njaaa wanataaa sana.....
Huyó mwanasheria alishapiga hesabu hela ya kukaa kiti kirefu

Ova
 
Kongola kanisikitisha sana
alikuwa Dodoma Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali
akapanda juu mpaka akahamia Makao Makuu
sijui ni kipi kilimpeleka NIMR
kuanguaka ndiko kulipoanza
sasa vyuma vimebana agwe myago
 
Kuna kesi za tuhuma za ufisad ila hatujasikia hukum za kuwatia hatian watuhumiwa wa ufisad
 
Kongola kanisikitisha sana
alikuwa Dodoma Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali
akapanda juu mpaka akahamia Makao Makuu
sijui ni kipi kilimpeleka NIMR
kuanguaka ndiko kulipoanza
sasa vyuma vimebana agwe myago
Pole yake hakunaga mtu asietaka vitu vizuri ..hususan pesa
 
mbona inasemekana kunawanaonunuliwa, hiyo nayo si rushwa?
wanaziba mbele nyuma wanaacha wazi
"MBONA INASEMEKANA" .... kauli hiyo haina nguvu KISHERIA .... huwezi muweka yeyote BEHIND BARS kwa KUDHANIA kwamba ni mhalifu .... inakubidi uwe na HAKIKA na unachokituhumu ama sivyo sheria itakugeukia wewe mwenyewe kwa kosa la CHARACTER DEFAMATION ...
 
Back
Top Bottom