Mwanasheria Mkuu wa Serikali ashitushwa na utitiri wa watu katika ziara za Paul Makonda wakilalamikia kudhulumiwa haki zao na kutekwa kwa ndugu zao

Siku Moja ikaitishwa clinic ya ardhi.. NIKAENDA kwa bashasha. Kufika kule nikaandikishwa jina... Kisha anaeniskikoza akawa anaangalia kuleeee anakwambia we endelea nakuskiza katkat a aongea na WENZAKE kisha akaniambia jitahid uende mahakaman.... So hata hizo vituo vitakua vinafanya hivi hivi hakuna haja ya kuvianzisha, huko ni kuchezea Kodi zetu
Migogoro mingi hasa ya ardhi utakuta kuna mkono wa wakubwa kuanzia Mkurugenzi, mkuu wa wilaya na idara yote ya ardhi hivyo anapoletwa kiongozi yeyote eti kuna clinic ya masuala ya ardhi akifika tu anapigwa bahasha afunge mdomo wake pale anabaki kutimiza wajibu tu ionekane kama anawasililiza kumbe yote mnayoongea anayaacha hapo hapo!
Hii ndo Tz
Bila katiba mpya tutabaki hivi mpaka Yesu arudi
 
Halafu wakishafungua hivyo vituo vy kusikiliza malalamiko ya wananchi je hao wafanyakazi wa kwenye hivyo vituo watatoka nchi gani?
Kama ni hao hao makada wa ccm tatizo liko pale pale watapigwa rushwa wanafunga midomo ukipeleka malalamiko unakutana na kauli za shombo n kukatisha tamaa kama unavyoenda kuripoti polisi.
Dawa ya kukomesha haya yote ni Katiba mpya basi!
Itapaswa kuwe na ufuatiliaji wa karibu sana kwa utendaji kazi katika vituo hivyo , katika kuhakikisha kuwa wenye kuhitaji msaada wanapatiwa huduma vyema na kwa wakati.lakini pia watanzania wenyewe kutoa ushirikiano kwa serikali pale watakapoona huduma zitolewazo katika vituo hivyo ni hafifu na za kusua sua na zenye kuchelewesha haki zao pamoja na kutengeneza mazingira ya rushwa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwanasheria Mkuu wa serikali Mheshimiwa Dkt Fereshi siku ya leo mbele ya mgeni rasmi Mheshimiwa Rais Dkt Samia amesema kuwa ameshitushwa sana na utitiri wa watu wanaojitokeza katika ziara za katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa Paul Makonda wakilalamika kudhulumiwa haki zao pamoja na utekaji wa ndugu zao.

Katika kutatua changamoto hiyo amesema kuwa watafungua vituo mbalimbali nchini , kusudi wananchi wenye shida kama hizo waweze kupeleka malalamiko yao katika ofisi hizo kusudi wapatiwe msaada .katika hatua nyingine ameomba msaada wa kibajeti kusaidia kufanikisha jambo hilo hususani katika bajeti ijayo.

Ndugu zangu watanzania sasa ndio muone kuwa ziara za Mheshimiwa Paul Makonda namna zinavyofuatiliwa na viongozi mbalimbali na namna ambavyo zinaisadia serikali katika kutambua wapi pana shida na nini kifanyike kutatua shida hiyo . Ndio maana wananchi na watanzania wanaendelea kumiminika na kufurika kwa wingi katika mikutano ya Mheshimiwa makonda ,kwa kuwa wanaona lipo tumaini juu ya kero zao kupata ufumbuzi.

Ndio maana watu wanamuona Mheshimiwa Makonda kama mkombozi wao,sauti yao,mtetezi wao,nguvu yao,mwenzao anayejuwa na kuguswa shida zao.ndio maana pamoja na uwepo wa viongozi mbalimbali huko mikoani lakini bado imani yao ipo mikononi mwa ziara za Mheshimiwa Makonda na kuwa ni mtu sahihi anayeweza toa msukumo wa wao kupata haki zao zilizo dhulumiwa na kupokwa .

Ndio maana kwa machozi ,huzuni,machungu na hisia kali za maumivu wamejitokeza na wanaendelea kujitokeza bila uoga kumueleza madhila waliyo nayo na mateso waliyobeba katika mioyo na vifua vyao kwa muda mrefu.ndio maana wanamkimbilia Mheshimiwa Makonda ili awatue mizigo waliyo nayo mioyoni mwao.ndio maana wajane,yatima,wazee,watu wenye ulemavu wanatamani wakutane na uso wa Makonda ili wapate Tumaini.

Makonda ataendelea kuwa sauti ya wanyonge,kipaza sauti cha wanyonge .amepaza sauti na serikali imesikia juu ya dhuluma wanazofanyiwa Watanzania maeneo mbalimbali nchini ,na sasa serikali inakwenda kuchukua hatua kwa kujenga vituo maalumu kwaajili ya kupokea malalamiko ya aina hiyo na kuwasaidia watu kupata haki zao.

Mheshimiwa Makonda ni kama Mfalme Daudi aliyeteuliwa na aliyeinuliwa na mkono wa Mungu mwenyewe. Ndio maana anaendelea kusonga mbele kwa ujasiri,uhodari,ushupavu na umadhubuti wa hali ya juu sana katika kuwatetea na kuwasemea wananchi bila kujali wala kumuogopa mtu anayewaonea Watanzania.

Songa mbele kaka yangu Makonda. Taifa na watanzania wanaona kazi unayoifanya katika kuwatetea na kuwasemea,wanaona namna ulivyojitoa na kujitolea kuwapambania kwa jasho lako lote ili wapate haki zao.wote tunaona unavyoendelea kuwafuta machozi wale waliao kwa kudhulumiwa haki zao. Endelea kuwafuta machozi,kuwapa faraja na tabasamu wale wabubujikwao machozi

Mungu atakulipa kwa kazi njema ya kuwatetea na kuwasemea waja wake .Mungu yu pamoja nawe na atakutangulia popote uendapo .atakutangulia kama alivyo mtangulia mfalme Daudi katika vita vyake vyote. Uso wa Mungu utakuwa pamoja nawe popote uendapo.vita ni vya Bwana acha akupiganie vita yako pale maadui zako watakapotaka kuinuka dhidi yako. Watakuja kwa silaha za kila aina lakini wewe utawashinda kwa neno la Mungu na watadondoka mbele za macho yako na wasiinuke tena.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.


Ha ha ha tengeneza tatizo then toa solution na ulitatue uwe hero

Siasa bwana

Kwa jicho la mbali unaweza kudhan hayo malalamiko au hizo kero viongozi wa juu hawajui

Kwamba after kufika makonda ndio serikali umejua

Ha ha ha na ndugu yangu unapiga promo kabisa
 
Ha ha ha tengeneza tatizo then toa solution na ulitatue uwe hero

Siasa bwana

Kwa jicho la mbali unaweza kudhan hayo malalamiko au hizo kero viongozi wa juu hawajui

Kwamba after kufika makonda ndio serikali umejua

Ha ha ha na ndugu yangu unapiga promo kabisa
Najuwa unacheka kwa kuwa hayajakukuta au kugusa watu wako wa karibu. Acha Mheshimiwa makonda aendelee kuwasikiliza wanyonge na kuwapatia majibu ya kero zao.
 
Kumbe wewe hujaelewa na kichwa chako kizito sana kuelewa. Kwa taarifa yako hapo maana yake ni kuwa serikali imeona ukubwa wa tatizo na changamoto iliyopo kwa wananchi kuhangaika kupata haki zao na namna wanavyoonewa huko chini bila kupata msaada wa kupata haki zao.ndio maana sasa serikali imeamua kuwa itafungua vituo vya kutoa huduma kwa watu wa aina hiyo wenye kutafuta haki zao kuzipata bila kusumbuka. Hii yote ni matunda ya ziara za Mheshimiwa Makonda ambazo zinaleta tabasamu kwa watanzania
Kwahiyo jukumu iliyoshindwa siri kali,ataweza Ntu🤔
 
Wananchi hatusikilizwi.
Mungu pekee asimame sasa kuwafyekelea mbali wale wote ambao wanatudharau na kutufanya nyumbu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwanasheria Mkuu wa serikali Mheshimiwa Dkt Fereshi siku ya leo mbele ya mgeni rasmi Mheshimiwa Rais Dkt Samia amesema kuwa ameshitushwa sana na utitiri wa watu wanaojitokeza katika ziara za katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa Paul Makonda wakilalamika kudhulumiwa haki zao pamoja na utekaji wa ndugu zao.

Katika kutatua changamoto hiyo amesema kuwa watafungua vituo mbalimbali nchini , kusudi wananchi wenye shida kama hizo waweze kupeleka malalamiko yao katika ofisi hizo kusudi wapatiwe msaada .katika hatua nyingine ameomba msaada wa kibajeti kusaidia kufanikisha jambo hilo hususani katika bajeti ijayo.

Ndugu zangu watanzania sasa ndio muone kuwa ziara za Mheshimiwa Paul Makonda namna zinavyofuatiliwa na viongozi mbalimbali na namna ambavyo zinaisadia serikali katika kutambua wapi pana shida na nini kifanyike kutatua shida hiyo . Ndio maana wananchi na watanzania wanaendelea kumiminika na kufurika kwa wingi katika mikutano ya Mheshimiwa makonda ,kwa kuwa wanaona lipo tumaini juu ya kero zao kupata ufumbuzi.

Ndio maana watu wanamuona Mheshimiwa Makonda kama mkombozi wao,sauti yao,mtetezi wao,nguvu yao,mwenzao anayejuwa na kuguswa shida zao.ndio maana pamoja na uwepo wa viongozi mbalimbali huko mikoani lakini bado imani yao ipo mikononi mwa ziara za Mheshimiwa Makonda na kuwa ni mtu sahihi anayeweza toa msukumo wa wao kupata haki zao zilizo dhulumiwa na kupokwa .

Ndio maana kwa machozi ,huzuni,machungu na hisia kali za maumivu wamejitokeza na wanaendelea kujitokeza bila uoga kumueleza madhila waliyo nayo na mateso waliyobeba katika mioyo na vifua vyao kwa muda mrefu.ndio maana wanamkimbilia Mheshimiwa Makonda ili awatue mizigo waliyo nayo mioyoni mwao.ndio maana wajane,yatima,wazee,watu wenye ulemavu wanatamani wakutane na uso wa Makonda ili wapate Tumaini.

Makonda ataendelea kuwa sauti ya wanyonge,kipaza sauti cha wanyonge .amepaza sauti na serikali imesikia juu ya dhuluma wanazofanyiwa Watanzania maeneo mbalimbali nchini ,na sasa serikali inakwenda kuchukua hatua kwa kujenga vituo maalumu kwaajili ya kupokea malalamiko ya aina hiyo na kuwasaidia watu kupata haki zao.

Mheshimiwa Makonda ni kama Mfalme Daudi aliyeteuliwa na aliyeinuliwa na mkono wa Mungu mwenyewe. Ndio maana anaendelea kusonga mbele kwa ujasiri,uhodari,ushupavu na umadhubuti wa hali ya juu sana katika kuwatetea na kuwasemea wananchi bila kujali wala kumuogopa mtu anayewaonea Watanzania.

Songa mbele kaka yangu Makonda. Taifa na watanzania wanaona kazi unayoifanya katika kuwatetea na kuwasemea,wanaona namna ulivyojitoa na kujitolea kuwapambania kwa jasho lako lote ili wapate haki zao.wote tunaona unavyoendelea kuwafuta machozi wale waliao kwa kudhulumiwa haki zao. Endelea kuwafuta machozi,kuwapa faraja na tabasamu wale wabubujikwao machozi

Mungu atakulipa kwa kazi njema ya kuwatetea na kuwasemea waja wake .Mungu yu pamoja nawe na atakutangulia popote uendapo .atakutangulia kama alivyo mtangulia mfalme Daudi katika vita vyake vyote. Uso wa Mungu utakuwa pamoja nawe popote uendapo.vita ni vya Bwana acha akupiganie vita yako pale maadui zako watakapotaka kuinuka dhidi yako. Watakuja kwa silaha za kila aina lakini wewe utawashinda kwa neno la Mungu na watadondoka mbele za macho yako na wasiinuke tena.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Wewe chawa, unamaanisha serikali ya Samia imelala na wamekalia kuzurura na anasa kutwa kucha Uarabuni wakati wananchi wanakosa huduma?

Huyo mwanasheria mkuu ni wa nchi gani hasijue kinachoendelea? Tukiwambia CCM siyo chama tena kinachojali maslahi ya mwananchi wa kawaida eleweni. Wenye madaraka wanatumia ujinga wenu kwa manufaa yao binafsi.
 
Najuwa unacheka kwa kuwa hayajakukuta au kugusa watu wako wa karibu. Acha Mheshimiwa makonda aendelee kuwasikiliza wanyonge na kuwapatia majibu ya kero zao.


Swala gani ni jipya kwenye hizo kero?

Ww hujui wajawazito wanalipishwa ela?

Hujui hakuna umeme?

Hujui Viwanja vinauzwa Kwa mtu zaidi ya mmoja?

Sasa Leo mtu wa salun akilalamika Kwa makonda kuwa hakuna umeme so afanyi biashara Hali ngumu na makonda akapiga simu Kwa waziri husika ww unaona case imekuwa imeisha?

Huo umeme unarudi?

Ndio maana nimekwambia tengeneza tatizo then jifanye unalitatua then uwe shujaaa

Huko kwenu sukuri kilo ni sh ngapi? Hahaha 🤣
 
Wananchi hatusikilizwi.
Mungu pekee asimame sasa kuwafyekelea mbali wale wote ambao wanatudharau na kutufanya nyumbu
Serikali ya Rais Samia ni Sikivu sana ndio maana imekuwa ikichukua hatua za haraka panapo bainika kuwa kero na kikwazo kwa wananchi katika kujikwamua kiuchumi au kupata haki zao.
 
Wewe chawa, unamaanisha serikali ya Samia imelala na wamekalia kuzurura na anasa kutwa kucha Uarabuni wakati wananchi wanakosa huduma?

Huyo mwanasheria mkuu ni wa nchi gani hasijue kinachoendelea? Tukiwambia CCM siyo chama tena kinachojali maslahi ya mwananchi wa kawaida eleweni. Wenye madaraka wanatumia ujinga wenu kwa manufaa yao binafsi.
CCM na Serikali yake inawajali sana Watanzania ndio maana ipo karibu nao muda wote na ndio maana Inaendelea kuaminika sana kwa watanzania.
 
Wewe chawa, unamaanisha serikali ya Samia imelala na wamekalia kuzurura na anasa kutwa kucha Uarabuni wakati wananchi wanakosa huduma?

Huyo mwanasheria mkuu ni wa nchi gani hasijue kinachoendelea? Tukiwambia CCM siyo chama tena kinachojali maslahi ya mwananchi wa kawaida eleweni. Wenye madaraka wanatumia ujinga wenu kwa manufaa yao binafsi.
CCM na Serikali yake inawajali sana Watanzania ndio maana ipo karibu nao muda wote na ndio maana Inaendelea kuaminika sana kwa watanzania.
 
Wananchi wamejawa malalamiko na vilio tele kilakonaa sasa jiulize uyo anayedai anaupiga mwingi anaupigia wapi???
Propaganda za kijinga zinafanywa kutetea mlo wa wachache
Ndomana tunasema elimu yetu haimkomboi mwananchi na kumwezesha kufikiri nje ya box.
Umeme,maji shida,ardhi ajira shida,mfumuko bei,afya shida,rushwa urasimu shida kiiilakitu nishida hiinchi
 
Serikali ya Rais Samia ni Sikivu sana ndio maana imekuwa ikichukua hatua za haraka panapo bainika kuwa kero na kikwazo kwa wananchi katika kujikwamua kiuchumi au kupata haki zao.
Kwani kuwa chawa ni ticket ya kutotumia akili au chawa wote hawana akili?

Ni hivi, ziara za Makonda na style yake hiyo ya JPM ya kuwahoji watu kwenye majukwaa inamvua nguo Rais, serikali na watendaji wake. Huoni wananchi wanamwamini mwenezi zaidi ya mawaziri, RC, DC na watendaji wengine? Chief justice kaona hiyo hatari, kwa akili yako unaona kama kashangaa kumbe anapeleka msg. Tumia akili.
 
Kwani kuwa chawa ni ticket ya kutotumia akili au chawa wote hawana akili?

Ni hivi, ziara za Makonda na style yake hiyo ya JPM ya kuwahoji watu kwenye majukwaa inamvua nguo Rais, serikali na watendaji wake. Huoni wananchi wanamwamini mwenezi zaidi ya mawaziri, RC, DC na watendaji wengine? Chief justice kaona hiyo hatari, kwa akili yako unaona kama kashangaa kumbe anapeleka msg. Tumia akili.
Wewe ndiye tumia akili yako vizuri.huoni ziara za Mheshimiwa Makonda zinachochea uwajibikaji kwa viongozi huko mikoani na kuwaweka hadharani wazembe na wavivu na wanaofanya kazi kwa mazoea
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mwanasheria Mkuu wa serikali Mheshimiwa Dkt Fereshi siku ya leo mbele ya mgeni rasmi Mheshimiwa Rais Dkt Samia amesema kuwa ameshitushwa sana na utitiri wa watu wanaojitokeza katika ziara za katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa Paul Makonda wakilalamika kudhulumiwa haki zao pamoja na utekaji wa ndugu zao.

Katika kutatua changamoto hiyo amesema kuwa watafungua vituo mbalimbali nchini , kusudi wananchi wenye shida kama hizo waweze kupeleka malalamiko yao katika ofisi hizo kusudi wapatiwe msaada .katika hatua nyingine ameomba msaada wa kibajeti kusaidia kufanikisha jambo hilo hususani katika bajeti ijayo.

Ndugu zangu watanzania sasa ndio muone kuwa ziara za Mheshimiwa Paul Makonda namna zinavyofuatiliwa na viongozi mbalimbali na namna ambavyo zinaisadia serikali katika kutambua wapi pana shida na nini kifanyike kutatua shida hiyo . Ndio maana wananchi na watanzania wanaendelea kumiminika na kufurika kwa wingi katika mikutano ya Mheshimiwa makonda ,kwa kuwa wanaona lipo tumaini juu ya kero zao kupata ufumbuzi.

Ndio maana watu wanamuona Mheshimiwa Makonda kama mkombozi wao,sauti yao,mtetezi wao,nguvu yao,mwenzao anayejuwa na kuguswa shida zao.ndio maana pamoja na uwepo wa viongozi mbalimbali huko mikoani lakini bado imani yao ipo mikononi mwa ziara za Mheshimiwa Makonda na kuwa ni mtu sahihi anayeweza toa msukumo wa wao kupata haki zao zilizo dhulumiwa na kupokwa .

Ndio maana kwa machozi ,huzuni,machungu na hisia kali za maumivu wamejitokeza na wanaendelea kujitokeza bila uoga kumueleza madhila waliyo nayo na mateso waliyobeba katika mioyo na vifua vyao kwa muda mrefu.ndio maana wanamkimbilia Mheshimiwa Makonda ili awatue mizigo waliyo nayo mioyoni mwao.ndio maana wajane,yatima,wazee,watu wenye ulemavu wanatamani wakutane na uso wa Makonda ili wapate Tumaini.

Makonda ataendelea kuwa sauti ya wanyonge,kipaza sauti cha wanyonge .amepaza sauti na serikali imesikia juu ya dhuluma wanazofanyiwa Watanzania maeneo mbalimbali nchini ,na sasa serikali inakwenda kuchukua hatua kwa kujenga vituo maalumu kwaajili ya kupokea malalamiko ya aina hiyo na kuwasaidia watu kupata haki zao.

Mheshimiwa Makonda ni kama Mfalme Daudi aliyeteuliwa na aliyeinuliwa na mkono wa Mungu mwenyewe. Ndio maana anaendelea kusonga mbele kwa ujasiri,uhodari,ushupavu na umadhubuti wa hali ya juu sana katika kuwatetea na kuwasemea wananchi bila kujali wala kumuogopa mtu anayewaonea Watanzania.

Songa mbele kaka yangu Makonda. Taifa na watanzania wanaona kazi unayoifanya katika kuwatetea na kuwasemea,wanaona namna ulivyojitoa na kujitolea kuwapambania kwa jasho lako lote ili wapate haki zao.wote tunaona unavyoendelea kuwafuta machozi wale waliao kwa kudhulumiwa haki zao. Endelea kuwafuta machozi,kuwapa faraja na tabasamu wale wabubujikwao machozi

Mungu atakulipa kwa kazi njema ya kuwatetea na kuwasemea waja wake .Mungu yu pamoja nawe na atakutangulia popote uendapo .atakutangulia kama alivyo mtangulia mfalme Daudi katika vita vyake vyote. Uso wa Mungu utakuwa pamoja nawe popote uendapo.vita ni vya Bwana acha akupiganie vita yako pale maadui zako watakapotaka kuinuka dhidi yako. Watakuja kwa silaha za kila aina lakini wewe utawashinda kwa neno la Mungu na watadondoka mbele za macho yako na wasiinuke tena.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
View attachment 2890899
Haya ni maigizo juu ya maigizo kuwachota akili Watanzania.

Makonda anafanya maigizo, na huyu Mwanasheria Mkuu naye anafanya maigizo juu ya maigizo.

Wewe unafikiri Mwanasheria Mkuu na mtandao wake mkubwa kweli hakujua haya madudu?

Na kama hakujua anastahili bado kuwa Mwanasheria Mkuu?

Kama kweli hili kasaidiwa na Makonda kujua, kuna mangapi Makonda hajayaibua huyu Mwanasheria Mkuu hayajui?
 
Ndugu AG,hivyo vituo havitasaidia maana tutakutana na 'nyang'au' wale wanaotupa shida kwenye haki zetu.Tatizo sio vituo,tatizo ni NAKISI YA UADILIFU ya watakaokua kwenye hivyo vituo.
 
Ndugu AG,hivyo vituo havitasaidia maana tutakutana na 'nyang'au' wale wanaotupa shida kwenye haki zetu.Tatizo sio vituo,tatizo ni NAKISI YA UADILIFU ya watakaokua kwenye hivyo vituo.
Kutakuwepo na ufuatiliaji juu ya ubora wa huduma zitakazokuwa zinatolewa na watendaji waliowekwa katika vituo hivyo
 
AG hana akili. Watu wanaenda kwa Makonda out of desperation. Vyombo vya kutoa haki havitimizi wajibu wao.
 
Watanzania wanasubiri kitu kimoja tu hadi Sasa nacho ni kukibwaga chini Chama Cha mapinduzi na kuanza moja. Wamekata tamaa kwenda polisi na mahakamani.
 
Back
Top Bottom