Zito aomba mwongozo juu ya kauli ya kuudhi na ku dought kauli hzo za CAG labda kutokana na kuumwa kwake hivi karibuni, hayo yote yalisababishwa lisu kutaka yeyote atakayepatikana hajalipa kodi inampasa kufungwa au kulipa na penaty juu, na si kusikiliza visingizio sababu hvyo vinaleta rushwa ktk tume zinazojadili sababu za kutolipa kodi.
Mb. Lisu ametoa mapendekezo ya kurekebisha mswada wa sheria ya fedha 2011, kwa kuwapa madaraka watendaji wa ngazi za chini katika ukusanyaji wa mapato, AG amekubali mapendekezo hayo na kuwashangaa wabunge kwanini hawajampigia makofi Mb Lisu kwa mapendekezo hayo. Live on TBC1 Now.
CCM wanakera maana wote ni mambuzi
nina wasiwasi kuwa hesabu za quadratic equations zilikuwa zinakusumbua,..yani hapo juu maana yake ni kwamba LHS=RHS,yani hao wa kushoto ni sawa na wa kulia,mabumbumbu ya kushoto ni sawa na lisu,yani lisu naye ni mbumbumbuFisadi (Kikwete) + (250 CCM) mi mbumbu wabunge = Tundu Lisu
balantandaHivi ni kipi kipimo cha mtu mwenye akili?......
Umetumia vigezo vipi kusema kwamba Werema hana akili.....
Safi sana mwanasheria mkuu kwa kukubali ukweli na Lissu kwa ubunifu!!