masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,740
- 12,634
Dah pole sana jamani kaka,Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto
Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Viambata Vyake ni..Soma viambata vyake.
Haya.Viambata Vyake ni..
Vaccine Inactive Ingredients: sorbitol, sucrose, hydrolyzed gelatin, recombinant human albumin, trace amounts of fetal bovine serum, other buffer and media ingredients, neomycin....
View attachment 2930645
View attachment 2930644
Pole sanaHabari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto
Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Acha upumbavu wako wa Facebook. Yaani katika maelezo yote umezingatia Chupi tu.!?Acheni ujinga aisee. Yan eti anapenda hicho kitu cha kuning’iniza nguo ya mama ake ya ndani anakuja nayo sebuleni? 😂😂😂
Mkuu uko serious? Kwamba huyo mke hajui kutunza vitu? Kyupi mnawekaje sehemu zinapoonekana na mtoto?
Kyupi 😂😁Acheni ujinga aisee. Yan eti anapenda hicho kitu cha kuning’iniza nguo ya mama ake ya ndani anakuja nayo sebuleni? 😂😂😂
Mkuu uko serious? Kwamba huyo mke hajui kutunza vitu? Kyupi mnawekaje sehemu zinapoonekana na mtoto?
Hizo nywele alinyolewa au ulimnyoa hapo ambako haziioti?!Anasumbuliwa na nini boss,asante
AlinyolewaHizo nywele alinyolewa au ulimnyoa hapo ambako haziioti?!
Tumeanza kuhangaikia zamani mtoto anapokuwa unaweza kudhan pengine kachelewa tu ataongea lkn muda unazidi kwenda tu unashtukaPole chief, ila hukuweza kumgundua kweli mpaka afike 4 years???
Nimekusoma chief.. hope kuna hatua mmesogea sasa? Mungu awafanyie wepes mkuu, itakua sawa tuTumeanza kuhangaikia zamani mtoto anapokuwa unaweza kudhan pengine kachelewa tu ataongea lkn muda unazidi kwenda tu unashtuka
yugakiyumbi05@gmail.comNipe email nikutafute.
CHANJO.
Msipende sana machanjo ndugu zanguni. Mtaangamiza watoto kwa kutokuelewa tu!
Mimi ni mama wa mtoto mwenye autism! Naomba nikazie hapa .Pole sana
Hiyo millioni tano itenge kwa kumnunulia vifuatavyo
Sensory toys - Hizi ni aina ya toys ambazo zinaamsha akili ya mtoto katika kuchezea, inaweza kuwa kwa kushikashika hii ina inaleta msisimko kwenye touch sensing, kumbuka sisi wadogo tumefinyanga sana magari ya na midoli ya udongo, au kuzipanga kama vipande vya maumbo yanayoleta picha kamili, hii ina mfanya aanze kutumia akili,
Aina nyingine ya hizi toys inaweza kuwa zenye kutoa sauti, kama ngoma firimbi, hii itamsaidia kuielewa aina za sauti abapo atakapo kuja kuzisikia haitamshtua, kumbuka watoto wa wenye autism huwa hawapendi makelele,
Ocuupational therapy toys - Hiizi ni aina ya toys zitakazomjenga mtoto kushika nakutumia vitu yaani itamtengenezea coordination mfano ni toys za kuhesabu, za maumbo tofauti na pia za kupanga vitu kimpangilio mfano kutunga vitu vyenye tundu kutumia kamba au uzi.
Haya ninayaandika kwa kuwa nimeyapitia
Na kama unaweza mnunumie kishikwambi chenye kufundisha au michezo ya watoto, mara nyingi na kwa niliyoyapitia mimi, atajifunza kutamka maneno kwa kufuata na kuimba mwenyewe kwa pia kwa kumsaidia lakini ni vigumu kuwa naye muda wote kwa hiyo kishikwambi kitasaidia kwake mwenyewe kujifunza
watoto wenye autism wanapenda kujifunza sana wenyewe ukiwawezesha,
Leo hii mtoto wangu ana miaka 10 anacode game zake mwenyewe za platformer.
alikuwa ukimletea toys anakufuata umuonyeshe inavyotumika ukiwa katikati ya kumuonyesha anakupokonya na kuendelea mwenyewe .
Kumbuka unatakiwa kama mzazi utenge muda wa kukaa na kufanya haya na mtoto wako.
Pole , je tatizo haliishi?Mimi ni mama wa mtoto mwenye autism! Naomba nikazie hapa .
Dada yangu Asante sanaMimi ni mama wa mtoto mwenye autism! Naomba nikazie hapa .
Tatizo ukiliwahi kwa kufanya therapy na vyakula matunda na dawa japo izi dawa aziponeshi ila zinatuliza vile vile moods!Pole , je tatizo haliishi?