Mvumbo JF-Expert Member Joined Aug 20, 2015 Posts 3,491 Reaction score 12,145 Feb 22, 2021 Thread starter #161 Bitoz said: Ni kweli Mkuu wamesahau kuwa USA ilipigwa vibaya na Vietnam tu ambaye ni mbegu moja na Mkorea Wamekariri kwamba USA ni baba wa dunia Click to expand... Sahihi kabisa
Bitoz said: Ni kweli Mkuu wamesahau kuwa USA ilipigwa vibaya na Vietnam tu ambaye ni mbegu moja na Mkorea Wamekariri kwamba USA ni baba wa dunia Click to expand... Sahihi kabisa
Mvumbo JF-Expert Member Joined Aug 20, 2015 Posts 3,491 Reaction score 12,145 Apr 3, 2024 Thread starter #162 kweli wakati si milele! Miaka saba iliyopita nilianzisha uzi huu wakati wa vugu vugu kubwa sana la vita kati ya Korea Kaskazini na USA, uzi ulikuwa na wanazi na ligi kweli kweli
kweli wakati si milele! Miaka saba iliyopita nilianzisha uzi huu wakati wa vugu vugu kubwa sana la vita kati ya Korea Kaskazini na USA, uzi ulikuwa na wanazi na ligi kweli kweli