''Mwanangu, babako amekufa''

Mwanao mwambienukweli kuwa baba yake hasaidii, hatoi matumizi (aka zigo la misumari) ila mwambienin such a way usije muumiza hisia zake.

Ushauri mbaya sana huu, kama una mtoto usidhubutu kumuelezea mabaya ya baba yake au mama yake.


Hakuna namna utayaremba hayo maneno, eti asiumie.
 
ok, some times hawa jamaa ni pasua kichwa
Anakuwa na mchepuko wake wee akisha nasa mimba anajifanya kuleta mahaba ya kihindi...!

Sometimes wanaume wanatumia mwanya huo kulipa kisasi kwa wadada wasumbufu...!
 
dah wengine wanatafta mtoto usiku na mchana wengine hawana habari na wanao
 
Tafadhal mama kama hyo mimba uliweka ww ndio utafanya hvyo.
Kuna sheria.mpe mda wa kuona kiumbe chake ni haki yake hata kama hatoi ela.
Kutoa pesa ya mtoto n muhim but syo kigezo cha kukatazwa kuona mtoto.
 
Unataka upandiwe mbegu nzuri we umepanda?hujui kama muosha huoshwa?huoni ananyonyesha mtoto akiwa na uchungu?dada endelea mbele mlee mtoto na usisahau kumwambia uovu wa baba yake kila ukipata muda
 
Nami wazo langu lilikua ni hilo, mwanamke anaweza kuwa ni tatizo mimi yamenitokea na hadi sasa naishi na mtoto ingawa ilikua ni kwa mbinde sana kumchukua, wanawake ni kama tabia yao unaweza kuwa nae kama wapenzi na mkapanga mambo mengi kumbe yeye ni looter. Anakufanya kama mmoja ya vutega uchumi vyake, unaweza kuta alikua na mwanamme zaidi ya huyo, sasa baada ya jamaa kukata tamaa na yule mwingine hana time nae ndo kulalamika kuwa ameachiwa mtoto, wakati mwingine wanawake we acha tu.
 
kaushia mdada move forward, mlipokua kwenye dating ungekua unaenda church ivo ungeepusha mengi, be care sio kila relationship ina destiny ya maisha yako jifunze kumfaham mtu kabla ya mambo ya kuzaa, sema wanawake wengi hua mnawaza kwa mihemko. unaeza ukamblock kuongea nae totally.
 
w
wanaume wa hivi wa ovyo sana....tunatakiwa kuhudumia hata kama mapenzi kwa mama aumpenzi hayapo...mtoto ni issue nyingine support mzazi mwenzio...huyu anatuaibisha wanaume na nimpumbavu kabisa
 
Hapa yawezekana hata wewe mwanamke kuna mabaya uliyomfanyia huyu jamaa japokuwa sijui, pengine tungemsikiliza mwanaume angekuwa na ya kukulaumu wewe maana wanawake nao sometimes ndiyo kikwazo tena kikwazo hasa japo si vizuri kutomhudumia mwana wa damu yako. Kama Mungu amekujaalia kipato mhudumie tu mwanao Ila usimwambie Baba yako kafa mwambie tu yupo utamjenga vizuri kisaikolojia. Ila umenishangaza alipokuja kwako ukamwambia hukupita kwa Mangi angalau uchukuwe nyama, najiuliza kwanini nyama na kwanini isiwe zawadi yoyote kwa mtoto? Kabla ya kumlaumu jamaa jiangalie na wewe mwenyewe pengine wewe ndiye kikwazo
 


Acha kuuliza upuuzi,nanyonyesha,au wadhan bila kula supu na mtori maziwa yatapatikanaje?unaona nyama ni ishu sana eeh
 
Sina

Sina time naye,nilitaka ahudumie mwanae,ila ndo hivo mtoto huyu amsahau.
 
Sina


Sina time naye,nilitaka ahudumie mwanae,ila ndo hivo mtoto huyu amsahau.
Unajua mwenyewe kwa kuwa tunasikia upande mmoja unajifanya kumlaum jamaa ila nahakika km akijitokeza hapa tutajua mengi sana!

Unajua siyo rahisi kwa mwanaume kumsusa mwanae kilichopo ni mazingira fulami ambayo utakuwa unataka kunufaika kupitia mgongo wa mtoto au kuna kitu kibaya ulimfanyia anakulipiza au mwenendo wako haukua mzuri na bahati mbaya ukapata mimba!
 
Nyie mnaomlaumu huyu mleta maada mnanishangaza sana. Mtu ana kazi nzuri tuu inamlipa kwanini hasimuhudumie mtoto? hata kama aligombana na mamaake ugomvi wake na mamaake haumuhusu mtoto. yeye angekuwa ni baba bora angemtunza tu huyo mtoto sabab huwezo anao. Halafu bado anafika kwa mwanamke akuta kuna msosi anakula bila hata ya aibu alafu mnamtetea. Kweli kuwa mwanamke ni kaziii.
 
Kwanini amlipize mama kwa mtoto? ugomvi wake na mama wa mtoto unamuhusu nini. Kuna njia nyingi tu za kumtunza mtoto hata kama hutaki kuonana na mamaake kama kweli hutaki kumtelekeza. Mnaendekeza ujinga tu kutelekeza watoto wasio na hatia.
 
Pole sana dada.fanya kama ulivyoamua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…